Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Inakwenda arijojo (Mtei, 2012)Ccm inang'oka jamani...
Inakwenda arijojo (Mtei, 2012)Ccm inang'oka jamani...
Muwakilishi kutoka K'ndoni anasema,mashina na matawi yanayoendelea kufunguliwa yawe imara,yajenge mbinu za hakika kuiondoa ccm madarakani kuanzia "level" ya familia
makamanda wa jesh gan? intake ya mwaka gani
Hawana chao hapaYani cdm hata kama huipendi ila utaifurahia tu kimoyo moyo...
cc ritz,sumu,m23,chilisosi,chamviga,ze marcopolo,nape,mwigulu,tandale one ooops pipoooooz!!
Yaani wemetutesa sana hawa CCM, Sisi haatujali. Wataelewa tu.Communist! Binafsi naona ndo kwanza ngoma imeanza-viva M4C. ukickia hakuna kulala mpaka kieleweke!!
Nimeipenda hyo yakumwombea mbunge mtarajiwa GWAKISAMabere Nyaucho Marando yuko jukwaani sasa,anaomba radhi kwa pale Gwakisa alipokosea,anaomba Polisi wapewe nafasi yao ya kujirudi pale walipokosea,watende haki kwa watu kwa mujibu wa sheria,anasema jukumu la CDM ni kuleta mabadiliko ya uongozi nchi hii,watanzania wote wa itikadi tofauti wenye uchungu wa nchi hii kuungana kwa pamoja kuleta mabadiliko ya uongozi wa nchi hii
Duhh, Marando, unanikumbusha mbali, mabomu ya machozi morogoro road na bibititi 1991.Mabere Nyaucho Marando yuko jukwaani sasa,anaomba radhi kwa pale Gwakisa alipokosea,anaomba Polisi wapewe nafasi yao ya kujirudi pale walipokosea,watende haki kwa watu kwa mujibu wa sheria,anasema jukumu la CDM ni kuleta mabadiliko ya uongozi nchi hii,watanzania wote wa itikadi tofauti wenye uchungu wa nchi hii kuungana kwa pamoja kuleta mabadiliko ya uongozi wa nchi hii
Vidonge vichunge!!, eti Nape?Mabere anasema wanasiasa waongo wako CCM,wananchi wawaamini CDM sasa,kama hawatatenda kama wanavyotarajia wananchi basi wananchi wawaondoe,Kikwete na wenzake wameshindwa kuiongoza nchi hii,ccm imeshindwa kudhibiti bei,ndiyo maana kumekuwa na mfumuko wa bei uliokithiri