Live Coverage from Mzenga Old Stand Grounds Mlandizi

Live Coverage from Mzenga Old Stand Grounds Mlandizi

Marando anatoa elimu..anahimiza watu wasifuate mkumbo tu.."Kama hutaipigia chadema huna sababu ya kuandamana pindi maandamano yaitishwapo..
 
Dedam,endelea kutoa live coverage,simu yangu imeishiww chaji hapa,wana JF naomba radhi kwa haya,tatizo hilo lipo juu ya uwezo wangu
 
Marando anatoa elimu..anahimiza watu wasifuate mkumbo tu.."Kama hutaipigia chadema huna sababu ya kuandamana pindi maandamano yaitishwapo..
Kuandamana kwa vitu kama mwenge wa uhuru wa nchi isiyokuwepo?
 
Masisiem must go...viva chadema na makamanda wote..
 
Huyu baba hapa jukwaani(marando)ananikosha jamani akati mi ccm nlikuwa napita tu naenda sokoni nashangaa sipiti.
 
hongereni sana makamanda, yaani napata raha sana kuwa CHADEMA. Peopleeeeeeeez!
 
Back
Top Bottom