Kama huna cha kupost bora ukae kimya !
Kama gazeti lilikwisha ripoti , humu unatuletea ili iweje ?
Kama unajidanganya utatubadili wa mabadiliko umekwama !
Hiyo list iwepo kwenye web ya Cdm ama isiwepo, kura zetu hatumpi Makomeo!
Ni utaratibu wa kawaida kuupdate website kila inapohitajika kufanya ivyo
Ndio...,wameamua kukumbatia mafisadi na ufisadi..wataondoa mengi tu.
lazima vijana wateke ofisi ;
kwa huu upuuuuzi. Mtabana lakini ofisi itatwekwa na itawekwa chini ya ulinzi.
aksante ; tumaini makene kwa kujitambua
kweli lipumba nafsi ingekusuta kwa hili; ulijua mapema; wewe ni kazi tu
Chadema Chama cha mafisadi, lowasa fisadi, Sumaye fisadi , masha fisadi, Rostam mfadhili wao wa kampeni fisadi, Mbowe fisadi.
Mwaka huu watajuta kuacha ajenda yao ya ufisadi na kukumbatia mafisadi papa.
Magufuli.
Chagua Magufuli.
Hapa kazi tu.
Kama huna cha kupost bora ukae kimya !
Kama gazeti lilikwisha ripoti , humu unatuletea ili iweje ?
Kama unajidanganya utatubadili wa mabadiliko umekwama !
Hiyo list iwepo kwenye web ya Cdm ama isiwepo, kura zetu hatumpi Makomeo!
kwa sababu anataka kuwa rais wetu na ni mwizi.kama mna uzalendo na nchi (kama siyo fitina na kutapata...) naomba mueleze kwa makini katika ile orodha Mh.Lowassa alikuwa wangapi? na kwanini mnazungumzia EL peke yake.? Nafikiri katika watu wanaostahili kuwa rais ni EL kwani si maskini kama makufuri ambae akiingia huko kwanza arekebishe maisha ndo afikirie wananchi..tumekoma kuchagua maskini...
Kwaiyo tuchague chama gani?Hapo ndo ilipofika CDM alafu eti aanajinasibu wanataka mabadiliko ..mabadiliko hayaletwi na watu ambao wenyewe wameshindwa kubadilika, kwamba Lowassa anabadilika tabia, hivi mtu aliyezoea kula nyama za watu naweza akaacha?
kwa sababu anataka kuwa rais wetu na ni mwizi.