Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Lisu alishasema list of anayo na aliandaa yeyeAnayo Dr slaa na yuko huko....
Embu mpigieni airudishe tui update
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu alishasema list of anayo na aliandaa yeyeAnayo Dr slaa na yuko huko....
Embu mpigieni airudishe tui update
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo ni fisadi leo na kesho hakuna mtu makini asiliemchagua msafisheni tu mlivyo wapumbavu
Malumumba, Lowasa mshampokea, wazungu wanasema "...the show is now over......."Duh ndugu huwapendi hawa ndugu zetu, wakifanya hivyo si watakuwa wamejichinja wenyewe, itawaumiza kabisa na credibility yao itaanguka .
Dawa uliyobaki chadema ni chama , kufanya kikao muhimilu na kufanya maamuzi magumu sana tena sana.
Wafanye total revamping ya chadema, walete Damu Mpya kabisa, mbowe astaafu, Lissu nae kwenye hili kapoteza uaminifu wa chama, nae awe kiongozi wa kati tuu na asipewe fursa ya kupeperusha bendera.
Huu ni wakati wa ajina Mnyika, Salum na vijana wengine. Uongozi uondoke Kilimanjaro, Arusha na Manyara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Pole kapotea kuona Nyani karudi MsituniYaani leo hata hawajui nini kimewapiga. Wamebaki kuweweseka tu.
KweliAlways Every action has equal and opposite reaction to balance an impact
Sent using Jamii Forums mobile app
Fisadi karudi nyumbaniViongozi na wafuasi wa Chadema hujiadai wanajitambua na wenye uelewa sana kumbe kinyume chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli uongo ni kipaji na muongo siku zote haachi asili!
Alikuwa hajapanga kutoka CHADEMA sasa amepanga was very technical speech Ufipa ni vigumu kuielewa.
Dr noma sanaHawana msimamo dhabiti. Ni wale wale. Dr Slaa aliliona hilo mapema
Sent using Jamii Forums mobile app