Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Sema unaomba wewe.unatusemea wananchi tumekutuma?Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app