Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
"Nimeambiwa leo na lipolisi kubwa kabisa kuwa jiandaeni Mhe. Lowassa atapelekwa mahakamani.... mtu pekee mwenye kinga dhidi ya mashtaka ya jinai ni JPM..."- Tundu Lissu
Hivi mwendo wa mtu ni tusi?"Kamateni bila kujali mwendo wa mtu" daah,assume siku moja Fredy Lowasa anakuwa rais halafu alitukaniwa hivi baba yake
uwe unafikiria vitu vinavyowezekana hata kwa mbali, hivi jina lowasa kweli liende ikulu kufanya nini??"Kamateni bila kujali mwendo wa mtu" daah,assume siku moja Fredy Lowasa anakuwa rais halafu alitukaniwa hivi baba yake
Watanzania!!! Zinduka tafadhali zinduka huu ujinga Wa kuzani wanasiasa wanatupigania, ama wanatutatulia changamoto zetu pasipojiuliza changamoto zimeletwa na nani?? No hatari sana. Tunapaswa kuwapuuza wanasiasa kwani ndiyo wanufaika wakubwa kupitia mifumo mibovu, mfano tunaona mawaziri wakuu wawili ambao no sehemu ya hapa tulipo Leo hii wamekuja na harakati ya kutaka mabadiliko hovyo kabisa Kisa kukatwa kwenye orodha ya wagombea!! Hivi wanamdanganya nani?Lowassa anatamani akamatwe kwa udi na uvumba. Kama kawaida yake anatumia VUVUZELA lake kuwasilisha mikakati yao ya kitoto.
RICHMOND itakusanya walimo na "wasiokuwemo". Hansard ina maneno ya Mwakyembe kwamba kama wangesema ukweli wote, Serikali YOTE ingeanguka, akiwemo Magufuli. Kesi ya RICHMOND ndo ilikufa vile pale Lowassa alipoachia ngaziEnheeee natamani sana sana akamatwe kwa mambo ya RICHMOND,,ili nijue
Visasi haviwezi kuisha"Kamateni bila kujali mwendo wa mtu" daah,assume siku moja Fredy Lowasa anakuwa rais halafu alitukaniwa hivi baba yake
Umepitwa na wakati,huoni hata aibu kuandika upuuzi huoHuyu lisu Leo hii anamtetea lowasa wakati hapo nyuma akiwa ccm alimnanga kwa kumuita fisadi duh kweli pesa haito muacha mtu salama .na ndio maana hata yesu alisaritiwa na yuda kwa sababu ya pesa .lisu kumbuka mungu anakuona unavyojidanganya