124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,802
- 5,494
Ndio kusema hujaelewa kitu kuwa hizi kinga zimekaa ovyo ovyo?Sawa lisu nae amekuwa mwana kiki kama wanao tafuta kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kusema hujaelewa kitu kuwa hizi kinga zimekaa ovyo ovyo?Sawa lisu nae amekuwa mwana kiki kama wanao tafuta kiki
kwa hali ya sasa lissu alipaswa kuwa mwenyekiti wa cdm. au heche. mbowe kachoka na nimuoga wa kuwekwa ndani.Duh... Uongo mbaya Lissu ana ujasiri wa ajabu sana.....
Hv sizonje na kile kizombi chenu sijui kizee sijui kijana walishawahi mtaja yule aliyetaka muhonga mtukufu milioni mia tatu?!Kwa wenye akili za kuona mbali hii ni kutafuta kiki. Anataka ikitokea kuwa Lowassa hakukamatwa aseme kuwa ile caution yake imefanya polisi kugwaya kumkamata. Na akikamatwa kweli aseme kuwa ni kweli alishasema. NINA UHAKIKA huyu mtafuta kiki Lissu hata siku moja hatamtaja kwa ushahidi hili LIPOLISI analoliongelea. Hizi kiki watanzania tushazizoea imebaki kumshangaa Lissu kama anadhani sisi hatujitambui??????????? TUNAJITAMBUA na tuna uwezo wa kuchanganua mchele na chuya. Pole sana Lissu.
Mbona taifa linazidi kukumbatia jamii za watu wajinga kama wewe ilihali dunia inasonga mbele?Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kinga sio tatizo tatizo lisu anazingua amekuwa mropokaji kuliko vitendo
Wewe nawe ukamatwe na kuhojiwa, wananchi umekutana nao wapi mkakubaliana jambo hilo? huu ni uchochezi kwa kuwasingizia wananchi kumbe ni wewe na mumeo/mkeo muliozungumza jambo hilo.Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unanyemelea uteuzi!Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi..
Katika magazeti ya leo nimeona Tundu Lisu kasema kapewa habari na kigogo moja ndani ya polisi kuwa Edward Lowassa atapandishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya uchochezi....
Katika nyanja za usalama hili halikubaliki kabisa na alichokifanya Lisu ni uchochezi wa wazi....
Wananchi tunaomba Lisu akamatwe na kisha aeleze kapataje taarifa hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ni juu ya alichokisema lissu na kumuhusisha kigogo wa polisi....kama kigogo wa polisi anavujisha siri za kiuchunguzi kuna tatizo.Mbona taifa linazidi kukumbatia jamii za watu wajinga kama wewe ilihali dunia inasonga mbele?
Msikilize vizuri ukiangalia hadi body language anaonyesha anafurahia lowasa kwenda kizimbaniLissu shikamoo
Leo sio dude: ameamsha "jidude"
Post sent using JamiiForums mobile app