JAPHETtumpa
Senior Member
- Feb 25, 2012
- 136
- 35
KIPENZI CHA WAPOIkipenzi cha watu kikipelekwa mahakamani, hii itaamsha hasira za walala hoi na malofa flani, watu tutakua na wasiwasi na vyombo vyetu vya dola, tutajua ni kweli vinatumika live!
KIPENZI CHA WAPOIkipenzi cha watu kikipelekwa mahakamani, hii itaamsha hasira za walala hoi na malofa flani, watu tutakua na wasiwasi na vyombo vyetu vya dola, tutajua ni kweli vinatumika live!
Rais wa nchi gani? Labda 777"Kamateni bila kujali mwendo wa mtu" daah,assume siku moja Fredy Lowasa anakuwa rais halafu alitukaniwa hivi baba yake
pesa kweli mwanaharamu usije thubutu kudhamini mtu mbele ya pesaUmepitwa na wakati,huoni hata aibu kuandika upuuzi huo
Unavyoona nani mpinzani hapo hao ni wapingaji kamanda sio wapinzani. Wapinzani huwa wana sera mbadala ya chama tawala. Ambazo zina akili. Sio hawa ambao wana sera ya kupinga makanikia kuzuiwa bandarini. Sera ya kuua na kuzika ajenda za ufisadi. Sera ya kutetea wafanyabiashara wanaokwepa kodi.duh....na mengi mengikama kukumbatia na kuwasafisha mafisadi