Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,747
- 14,649
Duh! Leo Lissu kakubali Magufuli ana nia njema!!?
Maneno yale alikuwa ayaseme bungeni kuweka rekodi sawa. Hata Riz1 aliwahi kusema anamiliki toyota corolla 1 tuNaona Tundu Lisssu ametumia Lugha ya kidemokrasia zaidi katika Maelezo yake, lakini kwa kumlaumu Mheshimiwa Rais Magufuli ni mmoja wa wahusika wa mikataba hiyo sio kweli kwani Rais Magufuli hakuwahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini. Rais Magufuli kabla kuwa Rais wa JMT alishawahi kutamka kuwa mikataba hii ya madini ni mibovu.
Acacia waliwahi kushitakiwa mahakamani na TRA kwa kutoa taarifa za uongo kwenye mapato wanayoyapata kutoka kwenye migodi wanayomiliki na mahakama ilihukumu Acacia wailiipe TRA. Sasa linapokuja suala la mikataba unayodai imevunjwa na Rais Magufuli si kweli, hapa ni Acacia akishirikiana na Watanzania wachache wasio waaminifu kujaribu kuiibia serikali ya Tanzania kwa kutoa taarifa ya uongo kwa kiasi cha madini kilichopo kwenye mchanga kusafirishwa, rekodi hii inaonyesha kampuni ya Acacia sio kampuni ya kuaminiwa. Mheshimiwa Tundu Lissu kama kweli ni mzalendo unatakiwa uiunge mkono serikali kwa hili badala ya kuiponda.
nyani ngabu rudia tena kusoma, Lissu kasema magufuli angeanza kwa sheria, its such simple. you don't treat the symptoms but the root cause!Naona Lisu analialia tu lakini hatoi mapendekezo mahsusi ya nini kifanywe.
Mimi ningekuwa ndo Magufuli ningemwomba huyo Lisu atoe mapendekezo halafu niyafuate hayo mapendekezo yake tuone tutakapofika.
Maana kupiga mayowe kama mwendawazimu na kusubiri wenzio watende na wewe ndiyo ujitokeze uanze kuwakosoa ni kazi rahisi sana.
Hiyo ripoti ya kina Mruma ni sawa na kagazeti cha uhuru cha mwaka juziWanaojua kusoma na kuandika ni kazi sana kuwaelimisha.....na hawa ndio wanasaini mikataba,kama hapa JF tunapata shida kuwapa elimu,huko kwenye mikataba si ndio watakuwa wanachekacheka tu?
Sasa moto wameuwasha,ngoja Acacia wawachezeshe
Lissu anasema hata ripoti ya kamati ya mchanga hahakamani haitapokelewa kama ushahidi,haikidhi vigezo vya kisheria kupokelewa kama ushahidi,mahakama itaitupilia mbali na kuikanyagakanyaga !
Kamati ya mchanga si moja kati ya Taasisi zinazotambulika kimkataba,imeibuliwa juzijuzi tu,eti TRA na uwezo wao mkubwa kabisa wasione tatizo miaka yote? TRA wanajua kipi chetu na kipi sio chetu! Wakakaa kimya!
Kumbe ripoti ya mchanga mahakamani si mali kitu,ni sawa tu na gazeti la mwaka jana,
Wanajitoa akili hata za kuvukia tuHuyo wala siyo Lumumba product, bali ni Bashite product!
Hivi TUNAOGOPA NINI KUANZA NA SHERIA,au kubadili sheria,au kupindisha makusudi ni sehemu nyingine ya kipigo cha CCM kwa watanzania?
Au CCM inakula ganji kwenye haya malipo?mbona hawataki ushauri kutoka kwa watu competent kwenye sheria?
Wakiharibu kitu wanasema DENI LETU TANZANIA,wakipatia wanasema SERIKALI YA CCM na wala si ya Tanzania.
Aaaaaahhhh watuache bana,chama kimechoka kinatoa moshi tu.
Umelemazwa na kuosha vikongwe hata kusoma na kuelewa huwezi tenaNaona Lisu analialia tu lakini hatoi mapendekezo mahsusi ya nini kifanywe.
Mimi ningekuwa ndo Magufuli ningemwomba huyo Lisu atoe mapendekezo halafu niyafuate hayo mapendekezo yake tuone tutakapofika.
Maana kupiga mayowe kama mwendawazimu na kusubiri wenzio watende na wewe ndiyo ujitokeze uanze kuwakosoa ni kazi rahisi sana.
Mungu aliwafanya wachache wenye akili ili wawashauri kama viongoziHivi TUNAOGOPA NINI KUANZA NA SHERIA,au kubadili sheria,au kupindisha makusudi ni sehemu nyingine ya kipigo cha CCM kwa watanzania?
Au CCM inakula ganji kwenye haya malipo?mbona hawataki ushauri kutoka kwa watu competent kwenye sheria?
Wakiharibu kitu wanasema DENI LETU TANZANIA,wakipatia wanasema SERIKALI YA CCM na wala si ya Tanzania.
Aaaaaahhhh watuache bana,chama kimechoka kinatoa moshi tu.
Hahahaha!.. Wale anaowafanya anavotaka kila siku!.The road to hell is paved with good intentions,JPM a nadhani hao Acacia ni sawa na watumishi wa umma anaowachezea kila siku ......
Kwenye nchi zenye maana ya demokrasia ile isue ya kuuza nyumba za serikali ingetosha kumtambua akili na ufahamu wake kuwa hafai sio kuwa waziri tu hata ubunge Wa kuteuliwaEndelea kuwaza hivyo hivyo ungejua nnavyotamani lowassa na Sumaye wahusishw moja kwa moja na hii mikataba ya hovyohovyo waliyosaini wakati wapo madarakani sidhani kama ungeniita CDM moja kwa moja.
This a matter of National bro kama wewe umeshikwa akili na CCM usifikirie wote tupo hivyo wengine tunasimama kwa ajili ya Taifa.
Sidhani kama utapingana na mimi kwamba yote haya kiini ni hicho chama chenu ambacho kimetumikiwa na huyo mnayemuona leo ni kaka Malaika kashushwa msitambue kama na yeye alihusika kupiga makofi kupitisha hiyo mikataba.
Tena gazeti lile la LUMUMBA lililopambwa na rangi za kijani.Wanaojua kusoma na kuandika ni kazi sana kuwaelimisha.....na hawa ndio wanasaini mikataba,kama hapa JF tunapata shida kuwapa elimu,huko kwenye mikataba si ndio watakuwa wanachekacheka tu?
Sasa moto wameuwasha,ngoja Acacia wawachezeshe
Lissu anasema hata ripoti ya kamati ya mchanga hahakamani haitapokelewa kama ushahidi,haikidhi vigezo vya kisheria kupokelewa kama ushahidi,mahakama itaitupilia mbali na kuikanyagakanyaga !
Kamati ya mchanga si moja kati ya Taasisi zinazotambulika kimkataba,imeibuliwa juzijuzi tu,eti TRA na uwezo wao mkubwa kabisa wasione tatizo miaka yote? TRA wanajua kipi chetu na kipi sio chetu! Wakakaa kimya!
Kumbe ripoti ya mchanga mahakamani si mali kitu,ni sawa tu na gazeti la mwaka jana,
Kama hutajali punguza mhemuko soma ulichoandika mkuu nina uhakika utaeditHalafu ni upuzi wa hili jamaa kufananisha Tanzania na Zimbabwe. Mugabe ni life president tokea mwaka 1982.
Na anachofanya Mugabe ni sawa. Nchi yake inapata shida kwa sababu mijitu kama huyu Lissu iko mingi inayomchimba ashindwe ili ichukue madaraka.
Mugabe ametengwa na wazungu kama North Korea. North Korea inapigwa tafu na China. Mugabe hana wa kumpa tafu. Mijitu kama Lissu inaona Mugabe ni
ubao wa kufundushia political failure.
Mugabe yuko right na anahitaji kuungwa mkono na nchi nyingine za kiafrika. It doesn't make sense nchi kupata uhuru ardhi iendelee kuwa mali ya wazungu.
Anachofanya Mugabe ni sawa na alichofanya Nyerere. Ila Nyerere alipoona kazidiwa kubanwa na wazungu aliamua kuachia ngazi. "He who fights and run away, lives to fight another day" - Bob Marley".
Kuna mmoja amenifurahisha na kunifikilisha sanaWasiellewa wakija utasikia wanataja vyama HIVI KUNA CHAMA KWENYE MAMBO YA MSINGI NA KIUCHUMI YANAYOHUSU SERIKALI YETU
WAJINGA
God bless Tundu Lissu
Ripoti ya Mruma ni ya rais ili kujibu swali la kiasi gani kimo kwenye mchanga baada ya vyombo vilivyopo kisheria kutotimiza wajibu wake. Tundu anakili kwamba TRA TMAA etc ndizo zipo kisheria kutoa report. Kitu anachojisahulisha ni mamlaka ya rais ya kuteua hizo taasisi. Hata leo akitaka prof mruma anaweza akawa ndio TRA au TMAA na automatically akatoa ripoti ikawa ushahidi unaokubalika.Hiyo ripoti ya kina Mruma ni sawa na kagazeti cha uhuru cha mwaka juzi