Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Mkuu unajua unapokuwa kwenye serikali nafasi kama mbunge/waziri ukaikosoa serikali unakuwa adui yao, alichaofanya Rais Magufuli ni kuwa mkimya na kutafuta nafasi ya juu ili ashughulikia suala hili kikamilifu.Je aliwahi kuwashawishi wabunge wenzio wa CCM wakati akiwa mbunge katika kuikataa hii mikataba wakati wanaipitisha kisheria?