Lissu; Nia njema ya Magufuli inatupeleka pabaya

Well done Magufuli hapa kazi tu. Hayo madebe matupu hayaachi kupiga kelele. Nani kasema rais hawezi kuvunja mkataba. Trump anafumua mikataba yote ya biashara ya Obama na maraisi waliopita.
Hoja yake ni sawa na ya Magufuli. Mikataba isiyo na maslahi kwa nchi.
Ndio anachoshauriwa kuanza nacho sio kuzuiya mchanga wewe bure uwe unasoma Mara mbili mbili ili kuficha ujinga uliokubakia kama ukoko
 
Lissu anatuma vibaya ubongo wake yye ndio anajiona kila kitu kisa kicheo alichonacho SSA Life come Life goes hat yy atapita kama walivyopita akina Mzee ndesa pesa wenye uchungu na chadema mnafiki tu yule hajui anachokiongea magufuli hayupo peke yake kuna wasomi wanaojua sheria s yye mtafuta kiki asikike cjamsikia myika wala mchungaji. Hahahah wako wapi
 
Inabidi usome tena
taratibu ili umuelewe huyu ndugu alimaanisha mini alipotumia neno "nia njema" kwenye mada yake.
 
Ndio anachoshauriwa kuanza nacho sio kuzuiya mchanga wewe bure uwe unasoma Mara mbili mbili ili kuficha ujinga uliokubakia kama ukoko

Sasa Trump anapovunja mikataba si maana yake anavunja biashara zinazoendelea? Hakutunga sheria yeyote mpya.
 
wingi wa wabunge wa CCM bungeni ndiyo Sumu ya kupitisha mikataba mibovu na kutunga sheria mbaya.sasa wanajidai kuwahadaa watanzania kwa kufukua makaburi ya marehemu waliouawa na CCM wenyewe lakini wanataka wasaidiwe na watanzania wote.

Kumbe siku hizi mikataba inapitishwa na wabunge? Hapo umetudanganya kwa kweli. Lakini hata kama makosa yalifanyika hatuwezi kuendelea na makosa hayo hayo. Tundu Lissu aliyempigia kelele Lowassa kuwa ni fisadi alibadilika kwa kigezo eti hajapelekwa mahakamani. Leo watu wanashabikia tena unafiki wake. Anyway, let us wait and see
 
Kuna vitu viwili ambavyo Lissu anavichanganya moja ni kuhusu mikataba,na pili kuhusu kiasi cha dhahabu.Royalty inachajiwa kwenye kiasi cha dhahabu na sio kwenye mchanga wote.Ni rahisi sana kuverify dhahabu inayozalishwa Geita kuliko inayozalishwa na Buzwagi kwa ajili ya kuchaji royalty ilio sahihi kwa sababu Buzwagi wanasafirisha mchanga ambao haujawa processed kuwa good
Kuhusu mikataba hakuna ambaye anapinga haipo sawa lakini uvujanji wake sio rahisi,halafu nia njema yake Lissu ya kumshauri Raisi ameshaiona na watanzania tumeshaiona lakini tunamshauri miruzi inakuwa mingi sana itamkimbiza mwizi kwenye mtego
Wewe ndo hujui kitu mkuu. Kama unajua kosma na kuandika ni ngumu sana kuelewa
 
Namwelewaga Sana huyu Jamaa anayeitwa Tundu Antipas Lissu. Msomeni hapa wenyewe

"ANAANDIKA TUNDU LISU...

....Suala sio nia njema ya Rais. Suala ni consequences za hiyo nia njema. The road to hell is paved with good intentions.

Mugabe most likely alikuwa na nia njema. The consequences za nia njema hiyo ni kwamba Zimbabwe ya leo haina hata sarafu yake na imegeuka kuwa ya kuomba chakula wakati ilikuwa a major food exporter.

Kama kweli Rais Magufuli ana nia njema angeanza na mfumo mzima wa kisheria, sio kuhangaika na magwangala.

100% ya uzalishaji wa dhahabu ya Geita unafanyikia mgodini na Geita Gold Mine ni mgodi mkubwa kuliko yote nchini.

Kwa logic ya Magufuli ni kwamba GGM hawatuiibii kwa sababu tu smelting yote inafanyikia Geita.

Acacia wanayeyushia dhahabu yote ya Nyamongo mgodini Nyamongo.

Kwa logic hiyo hiyo, hawa wezi wa mchanga wa Bulyanhulu na Buzwagi hawaibi Nyamongo kwa sababu tu wanafanya kila kitu Nyamongo.

Resolute walisafisha 100% ya dhahabu yao Nzega mpaka walipokomba kila kitu na kuacha mashimo na maji ya sumu tu.

Kwa logic ya wazalendo wetu, hatukuibiwa Nzega kwa sababu wawekezaji hao hawakusafirisha mchanga wa dhahabu.

Acacia walishakomba kila kitu Tulawaka na kuacha mashimo na maji ya sumu. Kwa sababu tu hawakusafirisha mchanga, basi hawakuwa wezi.

Hii ni logic ya mtu asiyeelewa biashara ya uchimbaji dhahabu katika nchi hii kabisa.

Tangu tumeanza kuwakaribisha wawekezaji hawa, hatujawahi kufikisha 10% ya mapato ya kikodi kutokana na mauzo ya dhahabu yote iliyochimbwa na kuuzwa nje.

Sio kwa sababu wawekezaji walikuwa wana-underdeclare mchanga wa dhahabu, bali ni kwa sababu sheria zetu zinawaruhusu kutokulipa kodi kama hawajatangaza faida.

Ni sheria, sheria, sheria. Sio mchanga wa dhahabu. Hilo ni changa la macho tu la kufumbia wasioelewa.

Kama Magufuli ana nia njema angeanza na sheria. Hajaanza na sheria, hana nia njema.

Mnaambiwa tusiogope kushtakiwa. ******* ujinga na hao hao waliowaruhusu wageni kuchota mali zetu: akina Magufuli na CCM yao.

Tumeshalipishwa na tunaendelea kulipishwa mabilioni mengi kutokana na kesi za Richmond/Dowans, IPTL/Tegeta Escrow, City Water, Samaki wa Magufuli, n.k. kwa sababu tumekuwa tunakiuka mikataba 'kwa nia njema.'

Tumekuwa tunaingia hasara kubwa kama taifa kwa sababu za kijinga. Badala ya kukataa ujinga huu tunaushabikia kwa sababu tu umefanywa 'kwa nia njema.'

Magufuli atauachia huo mchanga wa dhahabu kwa wenyewe. Mark my words.

Hana jinsi.

Sheria yetu ya madini inasema huo mchanga ni mali yao. Na imesema hivyo tangu mwaka '98.

Mkataba wao unasema ni mali yao. Na umesema hivyo tangu mwaka 2000.

Mikataba ya kimataifa tuliyosainishwa na wenye nia njema hawa inasema mchanga ni mali ya Acacia.

Mchanga huo umehakikiwa na TRA, TMAA, GST na SGS. Zote hizi ni taasisi za Serikali hii hii na zimepewa mamlaka kisheria na kimkataba na Serikali hii hii kuhakiki mchanga huo.

Kamati ya Prof. Mruma haina mamlaka hayo. Ripoti yake haina maana yoyote kiushahidi.

Sio kupiga ramli au kuagua kusema kwamba tutapigwa asubuhi kwenye arbitral tribunals za kimataifa.

Tutawarudishia mchanga na tutawalipa hasara yote waliyopata kwa sababu ya matendo yenye nia njema lakini yasiyozingatia sheria wala busara katika mambo haya.

Tunarushiwa changa la macho lingine. Tunaambiwa kuna Kamati ya wachumi na wanasheria inaleta ripoti nyingine. Hii itakuwa Kamati ya nne tangu mwaka 2004. Tulikuwa na Kamati ya Dr. Jonas Kipokola (2004); Lau Masha (2006) na Jaji Mark Bomani (2008). Tumekuwa na taarifa lukuki za watafiti binafsi na kwa muda mrefu. Ni kitu gani hasa cha kiuchumi au kisheria ambacho hatukijui hadi sasa na ambacho kinahitaji kuundiwa Kamati nyingine??? Wajinga ndio waliwao. Mimi sio mjinga. Na sijahongwa kama hawa wanajiita wazalendo. Ninapinga na nitaendelea kupinga ujinga huu unaotupeleka kuzimu......".

Tundu Lisu
d v
 
Na wewe pole unaongea kwa gea ya ushabiki.
Gea yupi tena nimekuomba usome kama post inahusu taifa acha kusoma kama ccm na cdm utapotea Kiongozi waza kama kesho pombe akakubali kwamba amekosea kuzuiya mchanga alitakiwa kuangalia kuvunja mikataba
 
Sometimes when an intelligent man speaks,it is not alyways easy for everybody to understand the message behind untill the intelligent people discuss the message behind.Then from that discussion, the unintelligent ones can have a chance to understand.

In other words,sometimes it needs to be intelligent to understand the intelligent person.
it needs a miracle to talk sense to the self-induced deaf.
 
Kama sio itikadi za kipumbavu zinazoendelezwa na Ccm, Lissu alitakiwa kuwa mshauri wa Rais kwenye mambo ya kisheria.
 
Naona Lisu analialia tu lakini hatoi mapendekezo mahsusi ya nini kifanywe.

Mimi ningekuwa ndo Magufuli ningemwomba huyo Lisu atoe mapendekezo halafu niyafuate hayo mapendekezo yake tuone tutakapofika.

Maana kupiga mayowe kama mwendawazimu na kusubiri wenzio watende na wewe ndiyo ujitokeze uanze kuwakosoa ni kazi rahisi sana.
Hv unasoma na kuelewa vizuri lkn....?

Lissu amesema sheria sheria sheria,kwamba ilipaswa kufuata sheria ili kufanya hiyo nia njema.
 
Huyu Mwanasheria uchwara anazidi kubore.
wewe mwenye fikra uchwara kama wabunge wa CCM wanaopitisha sheria mbovu na mikataba mibovu mnafanana wote ujinga ujinga wenu ndiyo umelifikisha Taifa hapa lilipo sasa.
 
Hili nyaturu linaongeaongea tu.linakumbuka majukumu yake kweli? Kila siku kwenye media porojo.
Fanya kazi we bwege wakili msomi mpuuzi,sijui hao unaowaongoza wako vp km kiongozi ni wewe.
Dunia ina mambo kwakweli
Madini ni rasilimali za Taifa ni wajibu wa kila Mbunge kupigania rasilimali za Taifa, naona umechukia baada ya kuona kuwa wewe utakosa cheo baada ya report yako kuonekana feki kutokana na ujinga wa wabunge wa CCM waliopitisha mikataba na sheria Mbovu zinazowapa mamlaka wageni kuliibia Taifa hili.
 
Back
Top Bottom