Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,727
- 14,609
Sasa hivi umekuwa Nyani hasa!! Mbona lissu alishatoa mapendekezo yaliyojaa akili na mbinu? Hukumsikia akimshauri uncle wako ajichomoe kwenye hizo platfoms zinazohalalisha Wao kutuibia sisi kisheria!! Tena sheria tuliyoisaini wenyewe?