Lissu kuhutubia Bunge la Marekani mwezi April 2019, atakuwa mbunge wa Kwanza mtanzania kuhutubia Congress ya Marekani

... intelligent ni intelligent tu! Huku mnamnyima matibabu sijui mshahara yeye anaenda kusimama mbele ya Congress ambayo mpaka mnakufa hamtokaa mkanyage viunga vyake! Ha ha ha! Lissu ni majanga.
Ni hatari kuziba watu wasipumue. Unapo zuia siasa na uhuru wa ndani visifanyike unakuwa umeruhusu siasa za nyumbani zifanyike nje ya mipaka ambako huna control napo....ndo hali ya tz kwa sasa.
 
Good for him, hilo linatikea wakati wowote, na umedanganya kuwa Lissu atakuwa mbunge wa kwanza wa Tanzania kufanya hivyo. 1978 - 79 kulikuwa na mbunge wa kitanzania alialikwa na ajazungumza hapo congress, huyo mbunge alialikwa na congressman aliyesima nae chuoni usa.

Nitajaribu kulikumbuka jina na natalileta hapa. Pia 1999 wabunge wawili wa Somaliland nchi ambayo haijatambuliwa , walipewa fursa ya ku,ungumza na congress kwa kulihutubia baraza la Congress.

Hiyo fursa hupewa kina mwana congress, anaweza mkaribisha hata shetani, bira atimize masharti na muda uwe muafaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye alifanyiwa shambulizi la kutaka kuuawa na watu wasiyojulikana na serekali iliyokuwa madarakani wakati huo ikashindwa kufanya uchunguzi wa kuwabaini waliotaka kumuua zaidi ya kutoa jibu jipesi kuwa ni watu wasiojulikana?.
 
Hii habari siyo njema kabisa imetibua shereha za kumpokea Lowassa pale ofisi za Lumumba.
 
Naapa nitahama upinzani siku lissu akihamia ccm
usile kiapo kwa wanasiasa utapoteza ndugu hawa wanaelewa wenyewe ngoma wanayocheza.
kinachotakiwa tuanze kujipanga upya ili taaluma zetu na uwezo na ujuzi wetu ulipe ili tuwe na nguvu wa kuchagua kiongozi tunayeweza kumwamini na atakayekuwa na hofu ya watu anaowatawala.
 
Hata angeenda baraza la mawaziri la marekani na hata akiitwa white house na trump bado hana impact yeyote ile kwa sovereignity country kama tanzania

wataishia kumsikiliza na kumsindikiza airport arudi zake ubelgiji kwa matibabu zaid na story itaishia hapo kama mwenzie maalim seif.
Angekua hana impact asingetumwa balozi wa tanzania ku pinga impact za lissu. Angekua hana impact asingewekewa vikwazo vya kunyimwa mshahara wake. Ana impact kubwa na ndio maana mnasema anachafua nchi

Vitu ambavyo havikua na impact ni zile risasi 16. Hazina impact kwasababu amekua maradufu zaidi ya pale mlipotegemea.

Vitu ambavyo havina impact ni pamoja na kufunga maduka kinguvu ya bureau de change ili kukuza thamani ya shilingi



Sent using unknown device
 
ARV zinatengenezwa Africa Au ni kwa msaada wa watu kutoka marekani?

Mwaka jana ilikuja meli ya wachina kutoa matibabu bure hapa tanzania ambayo watu wengi wamekua wakisafiri kwenda india kuyapata. bado unasema hawana good plan




Sent using unknown device
Wachina sio wazungu! ARV hata India ni good suppliers! Wapo wazungu wachache wanajielewa bt majority ni vimeo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo kwa Lissu itakuwa kama nyumbani tu bwiko la kwenda mbele - Yaani ka chura unapompiga teke - kwa wenzetu siye hadi wakarimani wakati lugha hii umeanza kufundishiwa toka darasa la tisa lakini the the the kibao mate yanajaa kwenye mike.

Go Liisu gooo...!! Mtaa wa pili wako busy wanapokea leftovers!!
 
Wachina sio wazungu! ARV hata India ni good suppliers! Wapo wazungu wachache wanajielewa bt majority ni vimeo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka juzi Marekani kupitia shirika lake la kutoa misaada usaid limetoa dolla milion 225 na kuipatia tanzania kwa ajili ya miradi mbali mbali.

Wewe mwafika ushawahi kumpa hata ombaomba pale kariakoo laki 5 tu bila kumkopesha?

Lakini marekani unayoisema haina good plan imetoa zaidi ya billion 500 kuipa tanzania yenye good plan ambayo haijawahi hata kutoa msaada wowote kwa mmarekani

Sent using unknown device
 
Ikitokea ikawa hivyo, hili litakuwa ni tukio la kipekee kabisa , kama ilivyokuwa kwa tukio la mtu kuchakazwa risasi zaidi ya kumi na kuendelea kudunda.

Lakini hasa upekee utakuwa ni juu ya Tanzania kuwekewa umhimu wa namna hiyo. Nadhani hasa kichocheo kitakuwa ni jinsi watawala wanavyozidi kuchochea kuminywa kwa haki kwa wananchi wao. Na hili linategemewa kuongezeka kadri uchaguzi mkuu unavyosogelea.

Hata kama hapatasemwa chochote baada ya tukio hilo kama kweli litakuwepo, taa ya njano itakuwa imeiangaza Tanzania yetu dunia nzima.

Kama ingetokea safari hiyo ikawepo na kupewa heshima ya namna ya pekee hiyo kuwahi kutokea, jambo la kuombea lingekuwa moja tu. Wananchi wa Tanzania wasaidiwe kuwachagua viongozi wao bila ya kushawishiwa na mtu yeyote wa nje, na bila kuwepo mizengwe ya chama kimoja kujitwalia madaraka ya kuendesha uchaguzi huo.

Wakiweza kutusaidia kwa hili, watakuwa wamefanya jambo jema sana.

Hata akiweza kuongea na Kamati tu ya Cngress, na isiwe Congress nzima, ingetosha kabisa kuchukua heshima kubwa.
pia tiss ijitafakari na ichukue hatua maana kama tiss inalinda usalama wa taifa basi kuna watu wanapaswa kushuhulikuwa na tiss mapema kuliko tiss kujihusisha na watu wadogo
 
Back
Top Bottom