I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
kaibe mataulo huko viti maalum bwana,eti wewe ndo unataka umtoe SUGU thubuutuSorry, kwani huyu Lissu ni nani hapa TZ?!
Mkuu
Unafahamu kwanini haya yanatokea... ni sawa na zile kura zilizoibiwa live, ni sawa na uchakachuzi uliotokea kwenye primaries ni sawa na dhuliuma yoyote ile ya nchi zenye watawala dhalimu
Mark My word.... Sierra Leone was once upon a Tanzania Identical twin (in peace and politics), it turned into blood diamnond country
and it was because of people like you, who would take a mickey of anything that hurts other people, i was there post war, kusaidia wamama walioteseka sana.... mifano yote wanayotoa, ni sawa ya kejeli unazotoa mkuu wewe na mfananao
I am just curious, WHAT MAKES YOU IGNORE EVERY SIGN OF A OTHERS SUFFERING
Ulipokua sekondari hukua hivyo, you are disappointing mkuu............ and accumulate rage and anger that may go beyong keyboard
all the best, naelekea Mirambo
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.
Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.
Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante
Haushangai mwenendo wa kesi na hukumu zinazotolewa, bali unashangaa wanaopewa hukumu hizo kuwa wa CDM!. Kuna tatizo. Kwa vyovyote sikuwahi kusikia kiongozi wa CDM akituumiwa kuiba kura. Sina hofu Mh. Makongoro atashinda Kesi yakeI'm wondering why is this only happening to CDM MPs. There must be something wrong with them as well as their part CDM.
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
I'm wondering why is this only happening to CDM MPs. There must be something wrong with them as well as their part CDM.
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.
Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.
Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante
Mkuu, are you mad or you just want to provoke people...
Kuna nchi zinafuata utawala wa kisheria kama Uingereza, Marekani na nchi zilizoendelea. Kwa nchi za kiafrika na hususani Tanzania, kuna utawala wa kisheria wa bandia (artificial rule of law). Haki siku zote ipo upande wa watawala, watawaliwa hawana haki. CCM ni baba wa dhuluma, hata mkijifanya vipofu, na tawala zote dhalimu duniani zilizalisha waasi na ziliangamizwa na hao waasi ambao ni jeshi la ukombozi kiuhalisia. Na amini nawaambia majority tupo tayari kushika silaha kama ndio itakuwa njia pekee ya kuung'oa utawala dhalili wa kifashisti.Sidhani kama kuna mkono wa CCM hapa, kinachozingatiwa hapa ni utawala wa sheria. Kama mtu hakufuata taratibu za uchaguzi, kwanini asinyang'anywe hayo madaraka? Ndio maana nimesema, tatizo linaweza kuwa kwa wabunge wenyewe au chama chao kwa kutowaelewesha vizuri wagombea wake kuhusu kanuni za uchaguzi.
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana