mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF kama mnakumbuka wingi wa polisi na Magari ya Maji ya kuwasha yalivyojaa pale Arusha siku mbili kabla ya hukumu ya Lema kwa ajili ya Kumvua Ubunge.
Sasa Magari hayo na polisi hao wamehamia Singida tayari kwa Kumvua Lissu Ubunge Rasmi leo hii maana CCM huwa wanaweka magari ya polisi tayari kwa hukumu ya dhuluma.
Polisi wengi wametoka SHY na Dom pia Tabora magari ya washa washa yametoka Dar tyr kwa kazi moja tu ya dhuluma.
Lissu Kaa tayari kuporwa UBUNGE kubali matokeo usipofungiwa turudie Uchaguzi
LIVE UPDATES fuatilia - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/257973-hukumu-ya-lissu-yaanza-kusomwa.html
Sasa Magari hayo na polisi hao wamehamia Singida tayari kwa Kumvua Lissu Ubunge Rasmi leo hii maana CCM huwa wanaweka magari ya polisi tayari kwa hukumu ya dhuluma.
Polisi wengi wametoka SHY na Dom pia Tabora magari ya washa washa yametoka Dar tyr kwa kazi moja tu ya dhuluma.
Lissu Kaa tayari kuporwa UBUNGE kubali matokeo usipofungiwa turudie Uchaguzi
LIVE UPDATES fuatilia - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/257973-hukumu-ya-lissu-yaanza-kusomwa.html