Lissu kama Lema?

Lissu kama Lema?

Status
Not open for further replies.
Salaamu sana Mkuu Rejao.
Kwa kuwa niko kwenye Time Zone nyingine sikutegea nisome comment yako usiku huu. Au na wewe siku hizi umehamia kwa wapiga maboksi? Najua Tz mida hii ndo inaelekea alfajiri. Vp, mna shifti ya mchana na usiku? Wape salaamu Lumumba na Magogogni wakumbushe ...."Ni upepo tu utapita"
Inambidi achangie usiku kwani kukikucha anajificha. Anakosa nafasi humu kwnye JF.
 
Rejao, CDM wakiharibu wanaona ni sawa, Lisu alipomtega nyara mkuu wa wilaya kule Igunga waliona ni sawa. Sasa akishindwa kesi ya uchaguzi watasema kaonwa hii ni sheria, cha ajabu Lisu mwenyewe hafuati sheria!
 
I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??

wewe ni gamba tu maana unachokitafuta hapo nini?mbona thread inaeleweka au unatuonyesha kuwa wewe ni ccm?
 
Sidhani kama kuna mkono wa CCM hapa, kinachozingatiwa hapa ni utawala wa sheria. Kama mtu hakufuata taratibu za uchaguzi, kwanini asinyang'anywe hayo madaraka? Ndio maana nimesema, tatizo linaweza kuwa kwa wabunge wenyewe au chama chao kwa kutowaelewesha vizuri wagombea wake kuhusu kanuni za uchaguzi.
Wape ukweli hao Rejao, taratibu za uchaguzi lazima zifuatwe ndiyo maana sheria inachukua Mkondo wake, ashukuriwe Mungu haturusihiwi kuhoji ushindi wa rais naamini damu ingemwagika Tanzania kwasababu waliowengi hawakumpigia kura Kikwete baadaye Tume ikamtangaza kama mshindi ndiyo maana huwa napata taabu sana kusema "Rais Kikwete"
Huwa napendelea kumuita "Ndugu Kikwete"
 
ukosawa kabisa mkuu, wote watolewe na hata ikiwezekana chama nacho kifungiwe itakuwa pouwaaaaa!! BIG UP CCM +mahakama chama makini lazima kifwate sheria.CCM NUMBERI ONE WENGINE WANAJIKONGOJA
Kawaambie Wameru waliokichagua Juzi kati.
 
Wewe ndio uliiba mataulo?? Wezi kama nyie lazima mumuogope Lissu??

Huyu bibie kumbe hutembelea humu? Kiburi chake kilimrazimisha kufanya mkutano soko la Sido Mwanjelwa eneo hatari kwa ccm, na kuhatarisha usalama wa greengurd wake. Yeye Mwanjelwa alisepa na kwaachia greengurd wakishushiwa kipondo cha mbwa mwizi.
 
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana

najua unataka kuona response za watu tu . Mtu mwenye akili zake hawezi kusema hivyo pengine awd mhusika. Mungu akuhurumie
 
Huyu bibie kumbe hutembelea humu? Kiburi chake kilimrazimisha kufanya mkutano soko la Sido Mwanjelwa eneo hatari kwa ccm, na kuhatarisha usalama wa greengurd wake. Yeye Mwanjelwa alisepa na kwaachia greengurd wakishushiwa kipondo cha mbwa mwizi.

Mkuu hicho kishtobe kiko humu toka 2007, naskia anataka kupambana na Sugu!!
 
Sidhani kama kuna mkono wa CCM hapa, kinachozingatiwa hapa ni utawala wa sheria. Kama mtu hakufuata taratibu za uchaguzi, kwanini asinyang'anywe hayo madaraka? Ndio maana nimesema, tatizo linaweza kuwa kwa wabunge wenyewe au chama chao kwa kutowaelewesha vizuri wagombea wake kuhusu kanuni za uchaguzi.

jimbo la msalala, matokeo ya urais maige alikimbia nayo
 
Hatupo sawa mkuu, kila mtu kuna anachokiamini. From nowher huwezi nilazimisha niipende CDM kisa et na wewe unaipenda.

Rejeo wewe kubali utakufa na ccm yako, maana ikitokea ajali kaa Spice Islanders si wote wanaoweza kuokolewa wewe utakufa na ccm yako! Tunakutskia kifo chema kama kipo! Hahahahaaa!
 
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.

Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.

Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante

Kapige mswaki...ama osha keyboard yako...unaongea uchafu unainuka....
 
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.

Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.

Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante

maybe yes, hatukufahamu, lakini unachopost kinatambulisha, you are making a fool of youself! CCM wameiba kuanzia madiwani mpaka Kikwete, wanachofanyiwa Lema, Lissu au Mnyika ni kujaribu kupunguza nguvu ya upinzani. Hawawezi, nakuombea usife mapema kabla hujakiona kifo cha CCM.
 
Rejao kashanunua hii thread muda si mrefu na yeye atamuuzia Ritz mwishoni kabisa Tume ya Katiba kwahiyo bora tukimbie hapa hamna cha updates. ila ni thread hatarishi kwa ban tuu
 
Jamani wana jamvi nashauri wakati mwingine kumjibu Rejao ni sawa na kumpa credit maana he is trying to divert people from the topic ili mjadili hasira zenu. Tahadhari, nashauri tuwe tunamwacha, tusimjibu

hapo umenena mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom