kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Moto wa mafuta hauzimwi na maji. CCM wanasambaza moto na kuongeza chuki kwa wananchi
na pia kutupandishia gharama za maisha. chaguzi ndogo zitatumia mabilioni bila sababu.
Moto wa mafuta hauzimwi na maji. CCM wanasambaza moto na kuongeza chuki kwa wananchi
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
Rejao anasikika kikazi zaidi. Inawezekana leo amepewa shift ya usiku. Kazi zingine!!
Rejao anasikika kikazi zaidi. Inawezekana leo amepewa shift ya usiku. Kazi zingine!!
Wana jamvi, Hivi kazi kama ya Rejao qualifications zake ni zipi na malipo yake ni kiasi gani??
I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
its just a temporary thing na ndio itakayochochea chuki ya watanzania kwa CCM na wapinga haki wote
Janjaweed,mKUU usijibu tu majibu ya dharau simply because you suport CCM, ninajua unajua kwamba HATA Trayvon Martin, rodney king, Martin Luther King etc were insignificant and junks a few minutes before thir murders or tortures....
nothing is insignificant in politics especially in a desperate society
Take it from me, Godbless Lema would be very ordinary kama sio kumvua ubunge, and that is my point
Frrapa... a simple term in a small west africa country meant a lot when the insignifcant got significant
OUR TASK IS TO THINK OUTSIDE THE BOX MKUU
This of a housegirl who is always obedient, we belittle her, but when she runs riot, we go insane because of our kids
ANYWAY, IF UBUNGE IS NOT INTERESTING, WHY IS CCM SPENDING BILLIONS ROBBING BACK THE SEATS??
hana msaada wowote kwa taifa hili, anadharau muungano ni matusi kwa waasisi wa ta4fa
zero brain!Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
:iamwithstupid::iamwithstupid::closed_2::focus:
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
Usijifanye unajua kingereza mwenzio kaandika kiswahili unamkosoa kwa kingereza una maana gani unataka uonekane unajua au ndo kupenda lugha za wenyewe
Nionacho mimi huyu ni mmoja wa walio kwenye payroll ya Nape. Huongea pumba hata kama anaona ukweli. Kweli rushwa hupofusha!Mkuu, are you mad or you just want to provoke people...
CCM walishinda Urais kwa magumashi pia.
Staili ya kulinda kura kwa ku2mia nguvu ya umma kumbe mlikuwa mnaiba kura.
SASA HAPA TUMUAMINI NANI? AU NDO TUAMINI KUTOKUAMINIANA..!!
TANZANIA !