Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,899
- 28,009
Mbona ma-CCM mnaweweseka na Lissu....
Mbona ma-CCM mnaweweseka na Lissu....
Another ccm thief..Humjui siyo lazima ujue wote basi
Umesahau moja..wanakasumba ya "kujiona" na "kujisikia"Asante Petro.
Lkn mimi nataka niende nje ya mada kidogo.
Kwanini wanasheria wa humu JF hamtusaidii pale mijadaya ya kisheria inapozuka na kuleta ukakasi kwenye jamii??
Ni uvivu? Uoga? Au kutokujua??
Britannica hebu msome huyu jamaa basi!! Hasa ukiwa na utulivu.Kabudi na Lisu OMG. Kwa mimi ambaye sio mwanasheria huwa napenda kuangalia nini hawa watu wawili wanasimamia na kama wanasheria wapi wangeweza kutusaidia. Nionalo Kabudi Kabudi huyu wa sasa (siyo yule wa Tume ya Warioba) ni mtetezi wa Jiwe na hutafuta chochote akionacho kinafaa kumtetea Jiwe. Hata Jiwe anapo potoka kisheria SIDHANI kama Prof. huyu (kama wengi walio serikalini) ana ubavu wa kushauri vinginevyo. TL umpende usimpende awe sawa au vinginevyo hufanya kile wanasheria wengi hawafanyi-HUSIMAMA NA KUONGEA kwa staili yake hukera wengi lakini ujumbe wake hufika na kuchoma wahusika. Baadhi ya waliochomwa ndio walifanya waliyo fanya, haikuwezekana na bahati mbaya zaidi jamaa ni mbishi hata akiwa huko nje anaendelea kuwachoma watu. Kwangu mwanasheria bora ni yule anaekwenda na sheria za nchi si yule anaepinda sheria za nchi kuhalalisha ya ajabu.
You sound very loud and clearKizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.
Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.
Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.
Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
Kabudi alikuwa anatoa lecture mbele ya kina kibajaji unadhani kungekuwepo wa kuzipima hoja zake? Angalia mimacho ilivyokuwa imemtoka pima!Kizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.
Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.
Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.
Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
Ulienda kumwona au wewe ndie daktari ulie mhudumia?Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
Mwanzoni nilijua mtoa mada anaongelea uwezo Wa kabudi vs lisu kwenye sheria, kumbe nilikuwa nakosea, sasa nimeelewa ishu sio wanaijua sheria kiasi gani Bali unaongelea namna ya kuongea!!!Kizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.
Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.
Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.
Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
hii ni aibu kiwango cha makinikiaKweli kabisaProf Kabudi is too shallow for a professor.
Lakini ww unae elewa pia unabwabwaja hapo napowashindwa wabongo hebu njoo na highlighted points za kuonesha weakness weka contentWasioelewa watakushukia kwa maneno ya kipumbavu lakini ukweli ndo huo. Lissu hana anachojua zaidi ya kubwabwaja. Ni kati ya wanasheria wa hivyo kuwahi kutokea. Hata bwana mdogo Albert Msando anamtoa kwente reli. Ajitathmini aone kuwa nje ya ulingo wa siasa anacho kitu anaweza kufanya ? He is a bare headed mind in the darkest of ghost.
Makele ya kisheria au ya kushangilia mpiraTukiacha ushabiki wa kisiasa Lissu ni mweupe mno huwezi kumlinganisha na Prof. Kabudi. Lissu makelele ndiyo yanayombeba.
unanikumbusha story ya mwl kuchora makalio akiamini amechora moyoIla nyuma ya pazia mnatamani kumshukuruMwambie atengeneze namna nzuri ya kuwasilisha maoni yake si kwa kuifokea na kui-command serikali...
Ataendelea kuwa ignored ingawa tunatambua anayo mazuri ya kusaidia nchi.
Hivyo vifungu ni vya nini hebu taja nawe tukuoneUkweli ni kwamba Lissu is not that good! Mleta uzi uko sahihi. Lissu huwa anapala rangi kwa kutaja vifungu na wasiojua sheria wanaona jamaa ni kichwa ila tafsiri za hizo sheria wa kawaida sana. Kwenye presentation ya legal contents Kabudi kamuacha Lissu mbali sana.
Lissu anabebwa na uanaharakati.
Ayie kodi Mr OnjuariaLissu is a gift we have, God has given us this man. No one can be compared with him. He is on another higher level. Kabudi is nothing to him, many cowards of law speak too much, and that is Kabudi. Kabudi cannot even fits Mdee's boots.
