Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

Kabudi aliisoma kwa kuangalia ..mwenzake lissu aliisoma kwa kuona .

Umri wa Lissu na uwezo wake wa Sheria..HUWEZI kaa nakufikiria uulinganishe na KABUDI .

Lissu nikitu kingine ndomaana mnapenda hata aaimie uko.
PROF KABUDI NI KIBARAKA WA JIWE!!!!!
 
Hahahaaa nimeipenda hiyo ya kujipoteza hata yeye mwenyewe.

But yes, Kabudi is long-winded AF.

That’s why he makes so many factual errors.



..ni kama kilichotokea jana alipokuwa akijibu hoja za wabunge.

..he left his audience with an impression kwamba Raisi ana mamlaka juu ya Bunge ktk mazingira yote, na siyo ktk mazingira maalum.
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Tatizo lenu mnaongea kitu bila Supporting documents

Ukitaka kucompare kitu au kutetea onyesha field work ya huyo alivyobobea katika kutetea au kwenye research zake ziweke hapa tuangalie argument zake katika maplatform mbalimbali zilivyokuwa halafu njoo upande wa pili onyesha weakness zake kwenye field kwa mifano halisi aliyowahi kuifanya

Baada ya hapo utakuwa umemaliza hoja yako

Kuandika kwa jinsi hii inaonyesha hata form four hukufika
 
Kizazi cha wadogo zetu ni kizazi ambacho hakijui substance ya maana ni ipi. Mtanzania kuiteka akili yake ni jambo dogo sana.

Unashangaa kusikia eti wachekeshaji na wao wanafungua makanisa na bado wanapata vichwa vingi tu.

Kabudi yupo juu sana, nimeiangalia hii clip ya bunge la sasa, jamaa anamwaga shule, kama vile mwalimu anaongea na wanafunzi.

Lissu ana tatizo la kushindwa kuitawala arrogance yake, hachelewi kuanza kupayuka, na hawezi kudhibiti hisia zake.
Hivi ukiulizwa kuhusu Nyanya wewe ukatoa maelezo kuhusu sambusa, hicho kinakufanya uwe Bora kisa tu uwezo wako wa kuielezea sambusa Ni mzuri? Watanzania mna matatizo makubwa Sana!
 
Kabudi na Lisu OMG. Kwa mimi ambaye sio mwanasheria huwa napenda kuangalia nini hawa watu wawili wanasimamia na kama wanasheria wapi wangeweza kutusaidia. Nionalo Kabudi Kabudi huyu wa sasa (siyo yule wa Tume ya Warioba) ni mtetezi wa Jiwe na hutafuta chochote akionacho kinafaa kumtetea Jiwe. Hata Jiwe anapo potoka kisheria SIDHANI kama Prof. huyu (kama wengi walio serikalini) ana ubavu wa kushauri vinginevyo. TL umpende usimpende awe sawa au vinginevyo hufanya kile wanasheria wengi hawafanyi-HUSIMAMA NA KUONGEA kwa staili yake hukera wengi lakini ujumbe wake hufika na kuchoma wahusika. Baadhi ya waliochomwa ndio walifanya waliyo fanya, haikuwezekana na bahati mbaya zaidi jamaa ni mbishi hata akiwa huko nje anaendelea kuwachoma watu. Kwangu mwanasheria bora ni yule anaekwenda na sheria za nchi si yule anaepinda sheria za nchi kuhalalisha ya ajabu.
 
Your Prof.is very deeeeeep, but in a Shallow water. Should not be compared to Lissu at all! At all, Lissu dives in deep Seas while your Prof dives in a swimming pool! Sasa wapi na wapi?
Nitakupa mfano mmoja: Niliwahi kuchukuliwa na shirika Fulani nikapelekwa Kilolo kwenda kutoa Elimu ya Haki za Kisheria katika Umiliki wa Ardhi. Siku ya kwanza Boss wangu ndie aliefanya presentation kwa Wananchi! Yeye sii mwanasheria Kama Mimi, katika presentation Yake Kuna Mambo mengi sana ama kwa kujua au kutokujua alikuwa akipotosha! But he wasn't stammering, alinyoosha presentation Yake Safi, alijibu maswali kwa kunyoosha maelezo, na kila mtu alikubaliana na kilichoelezwa! Kesho Yake ilikuwa zamu yangu, nami kwa kuwa tulikuwa Kijiji kngine, nikatumia knowledge niliyonayo ipasavyo, nikanyoosha maelezo ipasavyo, Hadi Wananchi wa Kilolo nakumbuka walinipa kuku nikaenda kuchinja. Ninachokieleza Ni kwamba, kila mmoja wetu presentation Yake kwenye same topic aliifanya kwa uwezo Mkubwa, tofauti Ni kuwa, mmoja alipotosha, mwingine alieleza Mambo yalivyo.
Mfano mwingine, nime base Sana kwenye Haki za watoto kwa Sasa, naendesha trainings za kutosha tu huku nilipo, nikianza kuhubiri akili na masikio ya wasikilizaji Huwa havitikisiki, very attentive, nimekuwa mbobevu katika Hilo, ila Kuna siku kwa kutokujua uwepo wa kanuni mpya nilijikuta nashushuliwa na Afisa Maendeleo ya Jamii kuhusiana na masuala Fulani yanayohusu watoto! Mmi nikiilaumu serikali kwa kutowezesha utekelezaji wa baadhi ya provisions kwenye Child Act kutokana na kutokuwapo kwa kanuni, mwenzangu akaniambia kanuni zipo na akazionesha! Palamagamba nae kutokana na uzoefu wa muda mrefu na kujiamini katika maeneo mbalimbali ya kisheria, na amekuwa Kama Mimi, anajiamini hata Kama asemacho Ni upotoshaji!
Lissu hawezi lingana na kina Mkono kwa sababu labda ya Areas of concentrations! Mkono ukimpa Criminal au Land cases utakuwa unamuonea, mpe kwenye Investment, Dispute Resolutions, Corporate, etc. Halafu Mkono yeye alichoweza Ni kuajiri ama ku partner na Mawakili wengine Wazuri, yeye uliwahi kumuona kwenye debates? Mahakamani?
Marando is one of the most senior advocates na Ni mzuri Sana kwenye litigation, hao ndio mentors wa kina Lissu, so kwa vyovyote vile, Huyo Kabudi wenu akili ya chuoni kaiacha hukohuko, kwenye Serikali ya Vichaa kaja na Macho Yale na Tumbo!
UKO SAHIHI!!!!!!
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Kabudi alifeli, bar exams Mara Tatu. Alipewa uwakili kwa hisani, Kuwait prossional no tofauti nam
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi
Kabudi alifeli bar exams Mara Tatu, alipewa uwakili kwa hisani, Kuwa professional ni zaidi ya kukariri vitabu
 
Naanza kwa kukubali title yangu ndiyo, kabudi ni level nyingine kwa kina Lissu na mdee,

Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka no sina heshima hapa, nipo kuwasilisha mawazo yangu,

Kwa uwezo wa kabudi wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala huwezi kumlinganisha Lissu hata siku moja,
Lissu uonekana anajua sheria kwa wasioelewa,

Kwa kifupi lissu hupiga kelele kwa kutaja vifungu n.a. watu wanashangilia bila kujua,

Kwa ufupi nimefuatilia hata baadhi ya hoja za kibatala nikaona Lissu uanasheria wake anacheza na jukwaa tu,
Hajafika hata level za kina Marando, au Advocate Mukono, ila kwakuwa hawana platform ya kuonekana watu hawagundui

Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, kwa kifupi Lissu sheria yake haijafika level hizo mnapomuweka,

Akiacha kuongea kwa kupiga kelele akiwa ametulia atakuwa mwanasheria mzuri , bado Ana nafasi afanye mazoezi

We mwenzetu umeandika kikuda sana. Toa hoja za kisayansi zenye kuweza kudhibitishwa pasi na shaka, siyo hiyo hoja dhaifu ya eti Lissu anaongea sana. Tambua kwamba kazi ya uwakili ni kuongea na siyo kubwabwaja tu kama ulivyosema huyo waziri anafanya bali kwa kurejea vifungu vya sheria ambacho umekubali kwenye bandiko lako kwamba Lissu anajua kuvitumia kwa umahiri mkubwa. Tofauti na huyu waziri ambaye anaweza kuwa na theoretical experience nzuri Lissu ana anavyo vyote: theoretical na professional experience. Una swali?
 
Kabudi labda ni mzuri akiwa chuo ila nje na hapo Lisu is the best...
 
Najua nitapigiwa kelele baada ya uzi huu wengine watasema umetumwa, wengine watasema heshima yako inashuka

Naona umeanza na difence mekanizimu ili tukuonee Huruma.....Leta hoja ambazo lissu aliziongea kisheria na hakuwa sahihi kama yeye ambavyo amekuwa akikosoa hoja za kabudi kwa vifungu vya sheria..

Acha uzembe mkuu, Lumumba siku hizi buku saba zenu mmekaziwa nini..??
 
Kabudi hua haelezi kile anachoulizwa bali hua anaeleza kile anachokijua yeye mwisho wa siku anakuja kuongea vitu mpaka unashangaa rejea mambo ya kuwaambia wabunge wakasome legal anthropology, mara sijui ooh we were in the times when president was president..nigga who asked about all that stick to the point...
Labda wewe ndo hukumuelewa kipindi like
 
Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
Wekicha kwel kwel naona unapitisha hewa tu baada ya kuvimbiwa uroda wa ficcm hongera mkuu
 
Unacheza na Lissu wewe eti,mtu kashindwa mahakamani kutiwa hatiani hadi kushambuliwa na bunduki ili kumzima bado unamchukulia poaa?

Lissu ni level nyingine.
Sheria haiendi kwa mieuko bali kwa ushaidi.Kuna tofauti kubwa ya ukweli na uthibitisho.Sheria inataka exibit na sivinginevyo.
Law is just tricks within human nature,nothing big and nothing less.
 
Hajui hata katiba ya CHADEMA chama chake sembuse sheria ya nchi? Unapigwa risasi kwa mizengwe unashindwa kuyasoma mazingira?? Risasi inapigwa kulia unaumia kushoto? Then unajiita mwanasheria nguli hujui hata kuchambua mambo??
mada tunaifunga
akili ya mleta mada haina tofauti na lusinde,do not waste your energy guys,mnadili na mtu mwepesi sana
 
Angalia presentation style ya kabudi na relevance ya anachokisema kutokana na sheria, mwangalie LIssu presentation na relevance ya anachoongea, k
Ziko wapi hizi tuziangalie----?
Kwa hoja kama hii, ungeweka hata mifano mifupi tu kama ushahidi, hoja yako ingenoga sana.
Na hasa unapoongelea "shallowness", halafu unasahau 'shallowness' ya hoja unayoiwasilisha!
 
Back
Top Bottom