Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

Tundu Lisu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lisu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lisu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa bavicha wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaelekea Uwezo wako wa kuchakata mambo ni mdogo. Ivi huoni hapo kawawekea kitanzi mjivike mwenyewe shingoni?

Kwenye kumalizia umeonesha wazi kuwa huwezi kupambanua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda kuna ukweli lakini Unajua kwa nini watu wanahisi hilo ni shambulio lenu kwa sababu aliyekataa uchunguzi huru ni ninyi na mbowe ndiye aliyekuwa wakwanza kuomba uchunguzi huru kutoka vyombi vya nje, na kama mlikuwa na uhakika kahusika msinge pata kigugumizi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokataa uchunguzi ni wale waliomficha dereva

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan mbowe hawezi kukubali kuchunguzwa, mbowe ni mtu hatari sana kwa Taifa ili
 
Lumumba mnachekesha kweli kwa hiyo ,mbowe ndio akatoa ulinzi ,akatoa CCTV kamera, akakataa Lissu asipatiwe haki yake ya matibabu ,ndio akamwagiza Ndugai azuie mshahara .Ndio akasitisha uchunguzi ,kwa kweli mnajua kujitoa ufahamu .
 
Huo ni bonge la mtego. Mbowe nina hakika yuko tayari hata leo. Hao wengine wawili sasa ndio raha ilipo.
Kama ni kweli huo itakuwa bonge la uchunguzi. Waje hapa M16 wafanye wanavyofanya siku zote, anzia Magufuli, Samia, Majaliwa, Mbowe, Mashinji, Makonda, Musiba....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo wana chadema mnakoma na kupewa vya uso.. huku wa humu..

Nimejua asilimka kubwa nyie sio wanachama hai wa hicho chama, bali ni watu mnaokuja humu kwa ajili vyuma vimekaza kutolea stress zenu za njaa kali.

Wewe hata kuandika hujui ,sasa hiyo elfu saba kwa siku inapotea bure!
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa mna hoja nyepesi Sana,yaani hii umeianzishia na uzi! Tayari buku 7 imeingia
Alisema hivyo akiwa na maana yoyotr anaye tuhumiwa achunguzwe hata Kama ni Mbowe kwani Mbowe Hana hati miliki ya kuuwa mtu yoyote
Sasa we umekuja kufungua na uzi,too shallow

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hata kuandika hujui ,sasa hiyo elfu saba kwa siku inapotea bure!

Kama unapewa hiyo pesa si ukae kimya.. mie uliniweka wewe humu.. naburudika eti nalipwa wewe kama wenza ni 💀💀💀
 
Wewe nikituko unaelewa maana ya uchunguzi huru? Mbowe ninani? Ruhusu uchunguzi huru usianze kutupa majibu kabla ya uchunguzi huru kwa maana ya hata wewe au Mimi na yeyote achunguzwe tujue ukweli. Kumpoint mtu haina maana achana na ushabiki usio na tija njaaa mbaya sana. Kimbuka siyo lazima kuanzisha thread hata ukiwa msomaji inatosha. Huu ujinga utatuisha lini watanzania wenzangu?
Akitajwa mbowe kuna watu wanaweza kukuchinja 😀😀 povu mbaya
 
Tundu Lissu akiwa Alabama nchini USA wakati anazungumza na watanzania waishio huko ,ameulizwa swali kama Freeman Mbowe alihusika kwa namna moja au nyingine kutokana na kupigwa risasi kwake, akawajibu hata yeye hajui huenda alihusika kweli!.

Lissu ametaka uchunguzi huru wa kuwachunguza Mbowe, Makonda ,Magufuli kama wamehusika kwenye tukio lake la kupigwa risasi.

My take:

Kitendo cha Lissu kutaka hata Mbowe achunguzwe kitakuwa mwiba mchungu kwa BAVICHA wanaopenda kumkingia kifua Mbowe ,huku wakimtaka Lisu agombee urais wa Tanzania.

Kama kweli Mbowe atachunguzwa kama Lisu anavyotaka ,basi huenda yakaibuka mengi na hata hatima ya mauaji ya Chacha Wangwe ambayo Mbowe amekuwa akihusishwa bila uchunguzi kwa miaka mingi sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu anataka Scotland Yard FBI maana anajua tayari CCM wametengeneza propaganda za kumbakia kesi mbowe lakini wakija wachunguzi wa kimataifa watasema Ukweli ndiyo maana karuhusu mbowe kwa sababu anajua mbowe hahusiki kabsa
 
Binadamu anayemmiminia binadamu mwenzake risasi 38 hakika si mzima na ukweli ni kwamba aliyemimina risasi kwa sasa anateseka kuliko aliyemiminiwa risasi...kweli Mungu Mkubwa.
kama kulikuwa na sababu ya msingi ya kufanya hivyo nadhani watu wanacheka sasa hivi...
 
Lisu anataka Scotland Yard FBI maana anajua tayari CCM wametengeneza propaganda za kumbakia kesi mbowe lakini wakija wachunguzi wa kimataifa watasema Ukweli ndiyo maana karuhusu mbowe kwa sababu anajua mbowe hahusiki kabsa
Hivi nasisi tunaruhusiwa kwenda kupeleleza kwao?
Kuuliza ni ujinga
 
Back
Top Bottom