Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,587
Week hii nitamchangia laki.Tunadunduliza hadi aingie Ikulu mwenye buku hadi Msimbazi
Toka ameanza kampeni nilikuwa namchangia 20k every week this week napandisha kiwango 5×
Week hii nitamchangia laki.Tunadunduliza hadi aingie Ikulu mwenye buku hadi Msimbazi
MatakoniSasa Watanzania maskini wanatoa wapi hela!?
Mkuu unaishi kwa kina ZuchuYunus au kwa kina amustadamu😃😃Sapoti ya mtandaoni, wengineo tunaishi nje,
Tukumbuke kuwa Tundu Lissu alivuliwa ubunge akiwa mgonjwa na wala hakulipwa kiinua mgongo. Tusiache kumchangia mafuta na maji ya kunywa katika safari ya ukombozi.
Wote tujitokeze kumpigia kura 28/10/2020.
Walimu 13,000 mliopata ajira juzi. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wamachinga, sasa mmeambiwa kitambulisho si muhimu. Asante yenu kwa Lissu ni kura zenu.
Wakulima, mtapata nafasi ya kutafuta masoko yenye tija nchi jirani kwa ushirika wenu. Kura zenu kwa Lissu zitafanikisha haya.
Wanafunzi, mikopo ya elimu ya juu hata kwa walio soma English Medium. Mpeni kura Tundu Lissu.
Huduma bora za afya kwa wote. Kura kwa Tundu Lissu.
Mliobomolewa nyumba bila fidia, kura zenu kwa Lissu zitamuwezesha kufuta machozi yenu.
Wafanyakazi Lissu ameahidi kuhakikisha ongezeko la mishahara linafanyika kila mwaka. Kura yako itafanikisha haya.
nje kwamaana ya nyumba ndogo mkuu😎😎Mkuu unaishi kwa kina ZuchuYunus au kwa kina amustadamu😃😃
Ccm bana, mnajitungia maswali na ya kuyajibu wenyewe kisha mnajiita mna akili. Hakuna mtanzania zoba, labda awe mwanaccm. Hivyo jitahidi kutenganisha watanzania na wanaccm.
Nikushukuru kwa hii clip👍
Nikushukuru kwa hii clip👍
Pumbavu unastahili kuichukua na wala usiirudishe, it belongs to you MatagaHiyo Pumbavuuuu baki nayo mwenyewe
Wamejiandikisha 29million, wanachama hai wa CCM ni 17million na wapinzani waliounga mkono juhudi za rais ni 7million.
Usipanick!
Number haziongopi na hazina blah blah
Na hapa uko wapi?Sapoti ya mtandaoni, wengineo tunaishi nje,
Kimsingi Lissu anasaka kura za huruma.
Suala usaliti na lengo la kuivurugaTanzania halijaisha vichwani mwa Watanzania
Mpaka sasa anasuswa na Mwenyekiti wake ujue hatopata kura za kujaa hata kikombe
Watanzania mnaodai ni maskini bado mnataka wamchangie Lissu mnayesema hana njaa! Ahahahahahahah! By the way, nasikia Mwenyekiti Mbowe AMESUSA kampeni za Lissu na kuna uwezekano mkubwa baada ya uchaguzi Lissu akafukuzwa Chadema.Tunadunduliza hadi aingie Ikulu mwenye buku hadi Msimbazi
Wanazitita mkuu usijali kwa hilo😂😂😂Sasa Watanzania maskini wanatoa wapi hela!?
Bila shaka wewe kusutwa ni sunna, ila bibie mimi nimeoa ujue.Wewe ni mke wa mbowe mbona una kiherehere na maisha ya watu ndo nyie mnasutwa na vigoma kutwa nzima
Umeolewa hujaoa, basi kama wa kiume ni mvulana bado unaishi kwa mamaBila shaka wewe kusutwa ni sunna, ila bibie mimi nimeoa ujue.
Watanzania mnaodai ni maskini bado mnataka wamchangie Lissu mnayesema hana njaa! Ahahahahahahah! By the way, nasikia Mwenyekiti Mbowe AMESUSA kampeni za Lissu na kuna uwezekano mkubwa baada ya uchaguzi Lissu akafukuzwa Chadema.
Of course kwenye hilo la Chadema kuamini mtu badala nakuunga mkono.Masikini huwa wanachangiana wenyewe kwa wenyewe. Naona mataga mmejitengezea propaganda ya mwenyekiti kususia kampeni, kisha mnaiamini wenyewe! Huko kwenye kampeni hakuna mwenye shida na Mbowe maana hagombei urais, bali wanataka kumsikia na kumuona mgombea urais. Mbona kwenye kampeni za ccm hatumuoni Mang'ula, au naye kasusia na badala ya uchaguzi atamfukuza Magufuli chama? Kwa taarifa yako Lisu ni zaidi ya chama, ni kama Maalim Seif, kawaulize CUF baada ya kuondoka Seif.