Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
- Thread starter
- #101
Tuache cheap politics na kugeuzana wajinga kama ana hoja mbadala aje na hoja zilizosimama! Bila kodi atapata wapi nyongeza ya mishahara, ajira, fidia nk. Ajiara 13,000 zinauhusiano gani na Lisu, tafadhali onyesha. Unakoelekea utasema na mshahara wa mwezi wa tisa tumshukuru Lisu, madeni na malimbikizo mbona tumelipwa wakati yuko busy anatuchongea kwa wafadhili?! Tuweni waungwana kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu , siyo ushabiki tu!
Tundu Lissu endelea kupiga spana baba. Gongelea na misumari!😂
Oktoba 28. 2020 Wananchi Tunajambo Letu!
#niyeye2020