minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
kwanini wamezima kipaza sauti??? kweli nimeamini siasa ni kipaji nilivyo na hasira ningeweza kung'oa hapo hicho kipaza sauti na kila siku ningepigana huko bungeni duhh kazi buti mkuu Lissu
Da! Hatari!