Lissu akiwa anatoa mchango wake kwenye muswada ulioletwa na serikali, amezimiwa kipaza sauti baada ya kukaidi maelekezo ya spika ya kuacha kukitaja chama cha Mapinduzi katika mchango wake.
Lakini Lissu ameendelea kuongea na kukitaja chama cha Mapinduzi huku kipaza sauti kikiwa kimezimwa kwa takribani kama dakika 4 mpaka kipaza sauti kilipo washwa tena, huu ni ujasiri wa ajabu.
Haya yote ni katika kuelezea jinsi alivyo funguliwa kesi ya rufani na bwana Kinana kupinga ubunge wake, pia na mapungufu mengine ya mahakama kama vile kushinikizwa na vyama vya siasa.
Lakini Lissu ameendelea kuongea na kukitaja chama cha Mapinduzi huku kipaza sauti kikiwa kimezimwa kwa takribani kama dakika 4 mpaka kipaza sauti kilipo washwa tena, huu ni ujasiri wa ajabu.
Haya yote ni katika kuelezea jinsi alivyo funguliwa kesi ya rufani na bwana Kinana kupinga ubunge wake, pia na mapungufu mengine ya mahakama kama vile kushinikizwa na vyama vya siasa.