ma CCm yanamtegemea kibajaj aka kudadadadadadake! ndio kichwa kwao!Lissu ni sawa na wabunge 150 wa ccm, kiakili, Personality, Kiuchambuzi ...hebu nitajie mbunge yoyote wa ccm anaemkaribia uwezo huyo jamaa
Vichwa kama Lissu ndo vitaifanya Rasimu ya Katiba ipingwe vikari na CCM, hebu niambie kwa mtu kama Lisu kuwepo Bungeni alafu Bunge liwe na Spika HURU!!!!!!!!.
account ya hamy d imeingiliwa
Dhh jamaa noma . Ana kiburu kabisa
Hahhaaahahaaa jmani hatimaye NURU imeshinda giza,usijali bhana hata nape akikutoa kwenye payroll kwa muda umetoa ya moyoni..hata kikwete anamjua Lissu!!
Ana lalamika kesi kufunguliwa na ccm kwani hao waliofungua kesi cyo wapiga kura? Hapa hoja ni kurekebisha sheria ya ccm yanatoka wapi?
Lissu akisimama ccm wanahisi viti vinakua vya moto.
Hata sugu si walifanya hivyo ,hawakujua mike ni zana yake..na mara kibao majukwaani mic huenda off ila huendelea na show .Bungeni aliendelea chana kwa ku adjust hadi mic za kwenye camera zikawa zinadaka. CDM huwa waajua issue tamu hawapotezi muda kwani hata kama zimeandikwa ila raia wananafasi nzuri ktk kusikiliza kuliko kuja soma.Kwa nini "walimzimia" kipaza sauti?
Mkuu kweli wewe sio mnafiki na huo ndio ukomavu kisiasa.Mimi ni CCM, ila Lissu namvulia kofia, jamaa ni jembe.
Hujui hata unaongea nini kama huelewi kaa kimya sio kujiabisha.Mimi naona ametia aibu anazungumza kitu ambacho hakihusiani na kilichowasilishwa ameishia kulalamika na kutaja ccm mda wote.huku ndiko kuisha kisiasa.