More Tiz
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 2,232
- 426
Dhh jamaa noma . Ana kiburu kabisa
sio kiburi, ni uzalendo kwani CCM kimekuwa kibabe kila kona. Nadhani walihitaji kumkatisha kuongea. Kwani kazi za vipasa sauti si kuweza kusikika tu. Kama unaweza kusikika bila hiyo unapeta tu. Hata hivyo vipasa sauti hivyo vimekuja juzi tu hapa visiwatishe na kuwazuia watanzania kutoa maoni yao.