Lissu atia fora bungeni

Dhh jamaa noma . Ana kiburu kabisa

sio kiburi, ni uzalendo kwani CCM kimekuwa kibabe kila kona. Nadhani walihitaji kumkatisha kuongea. Kwani kazi za vipasa sauti si kuweza kusikika tu. Kama unaweza kusikika bila hiyo unapeta tu. Hata hivyo vipasa sauti hivyo vimekuja juzi tu hapa visiwatishe na kuwazuia watanzania kutoa maoni yao.
 
tundu2.jpg


Hili linaitwa jembe!
 
Vichwa kama Lissu ndo vitaifanya Rasimu ya Katiba ipingwe vikari na CCM, hebu niambie kwa mtu kama Lisu kuwepo Bungeni alafu Bunge liwe na Spika HURU!!!!!!!!.

mmaaamaaaaaaa! spika huru? leo CCM ingekuwa imesahaulika katika siasa za Tanganyika!
 
Tatizo bi kiroboto anatumika sana,tangu lini akili ndogo ikaongoza akili kubwa,big up Tundu Lissu wamezima mike ila tumekusikia..
 
Tatizo bi kiroboto anatumika sana,tangu lini akili ndogo ikaongoza akili kubwa,big up Tundu Lissu wamezima mike ila tumekusikia..

Tumvumilie Bi kiroboto amalize muda wake katiba mpya haitamruhusu kugombea tena!!
 
Tundu Lissu ana IQ kubwa na unapojaribu kuziba hoja yake lazima upepesuke,Naona Ndugai akimwona Lissu bungeni anakosa mwelekeo kama gari iliyokatika centre bolt.Wabunge wengine ni chaguo la Mungu wapo kuokoa meli isizame! Nawapa big up wapiga kura wake mmetupa JEMBE!
 
Namuonea huruma sana bi Kiroboto, kati ya wanaccm walioipotezea ccm umaarufu kwa kiwango kikubwa ni Viongozi was bunge. Wamekuwa wakionyesha Udhaifu wa wazi kiasi wananchi wanajenga hasira na maamuzi yanayofanywa na viongozi hao.
Kuipa ccm adhabu itakayo waadabisha ni Kusema hapana ccm kwenye sandukua Kura.
Na hilo wameshaliona ndio maana wameanza kulalamikia rasimu ya katiba yenye mawazo ya wananchi sasa wanataka itungwe katiba inayoibeba ccm. Tuseme HAPANA katiba ni ya Watanzania sio ya ccm
Halina ubishi mkuu ni suala la muda tu tuyazike rasmi magamba ngome yao ya mtwara sasa hivi wamekuwa majambazi,raia wamewachoka vya kutosha hata jangili kinana anajua hilo...
 
ki katiba na kisheria bungeni ni sehemu ya kueleza hisia zako....sasa tatizo magamba ni hofu kuu ndio inayo waandama...
 
Uendeshaji wa Bunge leo ulijidhalilisha,nasema bunge limejidhalilisha,Spika amejidhalilisha kwa kuwa huwezi kuzuia ukweli kwa uongo na njia haramu zisizo za kikanuni.Kitendo cha kumzimia kipaza sauti msemaji wa upinzani ktk masuala ya sheria bungeni Mh Tundu Lissu ni KUMUOGOPA na KUMUHOFIA katika muktadha wa KUMUAMINI.Wananchi kwa kitendo cha Spika kumzinga na kumzimia mike Lissu wakati akieleza ukweli kuwa kuna njama chafu za Ccm dhidi ya ushindi wa wagombea wa cdm kortini tumeamini kuwa Ukweli Unauma na IMEKOSEKANA MBINU YA KUMDHIBITI LISSU.Nadhani Makinda alisema 'There's no obtion'.Swali_Spika ametumia kanuni ipi kuzima kipasa sauti cha Lissu wakati akiongea? Kama ni siasa Mbona Mwigulu huwa hazimiwi akiwehuka dhidi ya chadema? Kwa nini asingempa adhabu Lissu? NAMTAKA SPIKA AINGIZE KTK KANUNI ADHABU HIYO.Poor udhaifu wa Makinda.
 
Uendeshaji wa Bunge leo ulijidhalilisha,nasema bunge limejidhalilisha,Spika amejidhalilisha kwa kuwa huwezi kuzuia ukweli kwa uongo na njia haramu zisizo za kikanuni.Kitendo cha kumzimia kipaza sauti msemaji wa upinzani ktk masuala ya sheria bungeni Mh Tundu Lissu ni KUMUOGOPA na KUMUHOFIA katika muktadha wa KUMUAMINI.Wananchi kwa kitendo cha Spika kumzinga na kumzimia mike Lissu wakati akieleza ukweli kuwa kuna njama chafu za Ccm dhidi ya ushindi wa wagombea wa cdm kortini tumeamini kuwa Ukweli Unauma na IMEKOSEKANA MBINU YA KUMDHIBITI LISSU.Nadhani Makinda alisema 'There's no obtion'.Swali_Spika ametumia kanuni ipi kuzima kipasa sauti cha Lissu wakati akiongea? Kama ni siasa Mbona Mwigulu huwa hazimiwi akiwehuka dhidi ya chadema? Kwa nini asingempa adhabu Lissu? NAMTAKA SPIKA AINGIZE KTK KANUNI ADHABU HIYO.Poor udhaifu wa Makinda.

Hizi ndio nyakati za mwisho kwa CCM hakuna njia nyingine ya kutokea na sasa maji yameshawafika shingoni.
 
Mh lisu analijuwa na alifanya makusudi ili asiungwe mkono maana toka mwanzo wakati anasoma mapendekezo ya kambi ya upinzani tena alitamka kwa kinywa chake kuwa ni mapendekezo ya msemaji wa kambi ya upinzani kwa kuishambulia ccm waziwazi hata alipoonywa na spika kuondoa maneno ya ccm aliendelea sasa kama wao cdm sio lazima.kuunga ya ccm kwa nn yy wamuunge? Acheni ushabiki wa kijinga hapa wala msifikili lissu ni bora zaidi kuliko wengine hata ccm kuna vichwa vinavyofikiri zaidi ya lissu au mnapenda sauti yake tuu? Kama alikuwa na hoja ya msingi na alitaka kuungwa mkono na pande zote asingeanza kubeza upande mwingine, kwani nani hapendi chama chake? Au mnafikiri ccm haina wenyewe? Sasa bila aibu tunasema tupo na tutaendelea kuitetea na kuilinda.
 
Back
Top Bottom