Lissu aonekana Mahakamani leo

Lissu aonekana Mahakamani leo

Kisheria siyo lazima. Hakushitakiwa kama Mwenyekiti wa CHADEMA Bali kama Tundu Lissu.

Naelewa unachomaanisha lakini na hao waliomshitaki wametumia mwanya wa kisheria kufanya walichofanya.

Labda wanamsomea mashitaka mapya yanayotokana na maelezo ya Tume ya Jaji Chande ama pia DPP ameleta "Nole Prosequi" ili afute mashitaka.
naona unajaribu kumtuliza na kumuelewesha mfuata mkumbo mwenzako lofa wa utaratibu wa kisheria.

well done kwa kusaidia manyumbu
 
Kisheria siyo lazima. Hakushitakiwa kama Mwenyekiti wa CHADEMA Bali kama Tundu Lissu.

Naelewa unachomaanisha lakini na hao waliomshitaki wametumia mwanya wa kisheria kufanya walichofanya.

Labda wanamsomea mashitaka mapya yanayotokana na maelezo ya Tume ya Jaji Chande ama pia DPP ameleta "Nole Prosequi" ili afute mashitaka.
Kwani akiwa kama Tundu Lissu ndio hana haki ya kuoewa taarifa ili awajulishe mawakili wake?

Ni sheria gani hiyo inayomnyima mtu haki ya kupewa taarifa na mawakili wake?

Jamhuri wanafanya mambo ya ajabu na aibu, hapo hakuna pengo la sheria.
 
Huu unaoleta uchangudoa kwenye issue muhimu..!!
Ungetafuta supu unywe utoe hangover.
hiyo kitu si ndio mambo yenu huko chamani kwenu my lady?

halafu,
saa6 huwa ni muda wa maji ya supu au au mfano supu?
napendelea zaidi uji au kande asubuhi na namshukuru Mungu nilishapitia hiyo hatua kwa leo.
 
Yaani unavyoandika unaonekana wewe ni "kichwa cheupe' sana
sasa ndugu kichwa cheusi,
mbona umepanic na kuleta mihemko nonsense jukwaani tena kwenye komenti iliyojaa ukweli tupu?

au hujawahi kumuona lisu kizimbani akiwa na kikontena cha kiporo cha wali na maharagwe?
 
jikite kwenye porojo mahususi ya mfuata mkumbo mezani gentleman, bila kuweweseka wala kuendekeza mihemko nonsense jukwaani, right?
Una taarifa kutoka kwa wakubwa wenu, lazima mama yenu ateme ndoano,

"Kama ilivyotarajiwa, "tume" hii ilifunika ukandamizaji mkali na ukweli. Naunga mkono mapitio ya serikali ya Marekani na kutoa wito wa shinikizo endelevu kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kuachiliwa kwa Tundu Lissu. Kusubiri uchunguzi kwa ripoti iliyopakwa chokaa ni mkakati mbovu; haitarejesha uaminifu lakini badala yake huongeza hatari ya muda mrefu na kutoaminiana kwa serikali inayotawala."
 

Attachments

  • Screenshot_20260430-121056_cropped.png
    Screenshot_20260430-121056_cropped.png
    730.7 KB · Views: 13
Una taarifa kutoka kwa wakubwa wenu, lazima mama yenu ateme ndoano,

"Kama ilivyotarajiwa, "tume" hii ilifunika ukandamizaji mkali na ukweli. Naunga mkono mapitio ya serikali ya Marekani na kutoa wito wa shinikizo endelevu kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kuachiliwa kwa Tundu Lissu. Kusubiri uchunguzi kwa ripoti iliyopakwa chokaa ni mkakati mbovu; haitarejesha uaminifu lakini badala yake huongeza hatari ya muda mrefu na kutoaminiana kwa serikali inayotawala."
hizo ramli kawahubirie wafuata mkumbo wenzako malofa gentleman,

tume ya jaji chande imesaidia pakubwa kuzitambua AZAKI zinazofadhili matukio ya kigaidi.

AZAKI na Iran lao moja katika kufdhili ugaidi Tanzania na masharikai ya kati,
so,
marekani itapata fursa muhimu sana kuungana na kushirikiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ugaidi duniani na kuzitokomeza AZAKI ZINAZOFADHILI UGAIDI TANZANIA.
 
Ni lazima awe na wasaidizi wa kumsaidia utafiti kwakua yeye yupo rumande
Lissu anajiwakilisha hivyo dola imetumia mwanya huo (loops hole) kumfikisha mahakamani bila ya taarifa kwani yeye ni wakili wa mashitaka dhidi yake mwenyewe!
 
hizo ramli kawahubirie wafuata mkumbo wenzako malofa gentleman,

tume ya jaji chande imesaidia pakubwa kuzitambua AZAKI zinazofadhili matukio ya kigaidi.

AZAKI na Iran lao moja katika kufdhili ugaidi Tanzania na masharikai ya kati,
so,
marekani itapata fursa muhimu sana kuungana na kushirikiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ugaidi duniani na kuzitokomeza AZAKI ZINAZOFADHILI UGAIDI TANZANIA.
FB_IMG_1748360197313.jpg
 
Kwani akiwa kama Tundu Lissu ndio hana haki ya kuoewa taarifa ili awajulishe mawakili wake?

Ni sheria gani hiyo inayomnyima mtu haki ya kupewa taarifa na mawakili wake?

Jamhuri wanafanya mambo ya ajabu na aibu, hapo hakuna pengo la sheria.
Sasa kwanza hatujui kama kweli yupo mahakamani na kama yupo mahakamani kapelekwa ili kiwe nini.

Kama ni kwa ajili ya kesi ya Uhaini wakili wake ni yeye mwenyewe.

Lakini taarifa rasmi inasema alipelekwa kusomewa uamuzi wa mahakama kuhusu yeye kuunganishwa kwenye kesi ya mgawanyo wa Mali.
 
Sasa kwanza hatujui kama kweli yupo mahakamani na kama yupo mahakamani kapelekwa ili kiwe nini.

Kama ni kwa ajili ya kesi ya Uhaini wakili wake ni yeye mwenyewe.

Lakini taarifa rasmi inasema alipelekwa kusomewa uamuzi wa mahakama kuhusu yeye kuunganishwa kwenye kesi ya mgawanyo wa Mali.
Huo ni mpango ovu wa serikali kupitia mahakama kuendelea kumkandamiza Lissu na Chadema ili wakubali kwenda kwenye maridhiano.

Hakuna sheria yoyote inayomtaka mtuhumiwa apelekwe mahakamani kimya kimya bila kupewa taarifa binafsi, au mawakili wake kujua.
 
hizo ramli kawahubirie wafuata mkumbo wenzako malofa gentleman,

tume ya jaji chande imesaidia pakubwa kuzitambua AZAKI zinazofadhili matukio ya kigaidi.

AZAKI na Iran lao moja katika kufdhili ugaidi Tanzania na masharikai ya kati,
so,
marekani itapata fursa muhimu sana kuungana na kushirikiana na Tanzania katika mapambano dhidi ya ugaidi duniani na kuzitokomeza AZAKI ZINAZOFADHILI UGAIDI TANZANIA.
Nanukuu "Kusubiri uchunguzi kwa ripoti iliyopakwa chokaa ni mkakati mbovu". Mwisho wa kunukuu.
 
Back
Top Bottom