Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,144
- 36,951
hiyo ni mipasho nonsense ni ya kwenye kanga au kitenge gentleman unaileta kwenye siasa?Nanukuu "Kusubiri uchunguzi kwa ripoti iliyopakwa chokaa ni mkakati mbovu". Mwisho wa kunukuu.
hiyo ni mipasho nonsense ni ya kwenye kanga au kitenge gentleman unaileta kwenye siasa?Nanukuu "Kusubiri uchunguzi kwa ripoti iliyopakwa chokaa ni mkakati mbovu". Mwisho wa kunukuu.
Hao wawili ni pamoja na yule marehemu Anna Maulidah Komu?kesi ya said Issa Mohamed na wenzake wawili
Hapana huo ni uhuni, kumbuka Lissu yuko gerezani na aliiambia mahakama mapema mwanzoni kwamba anawategemea mawakili wake kufanya research ya hoja mbalimbali!.Lissu anajiwakilisha hivyo dola imetumia mwanya huo (loops hole) kumfikisha mahakamani bila ya taarifa kwani yeye ni wakili wa mashitaka dhidi yake mwenyewe!
Unawaza kulakula tu.
We nawe kuwa akili na mwili!alikuja tena na chakula chake kwenye mkoba hadi kizimbani?
maana ana minyoo wakali mno yule jamaa dah
Wamefanya timing wakampeleka kimya kimya leo siku ambayo mawakili karibu wote wapo kwenye shughuli yao TLS.Kutoka kwenye akaunti ya X ya Hilda Newton, anaripoti kuonekana kwa Lissu mahakamani leo asubuhi bila chama au mawakili wake kupewa taarifa.
View attachment 3581738
UPDATES:
Brenda Rupia: Ni kweli kuwa, Mwenyekiti alifikishwa mahakamani kusomewa uamuzi mdogo kufuatia Maombi yake ya kuunganishwa kwenye kesi ya said Issa Mohamed na wenzake wawili dhidi ya Bodi ya wadhamini na Katibu Mkuu wa Chama.
Katika uamuzi wake, Mahakama kuu imekataa Maombi ya Mhe Lissu kuunganishwa kwenye kesi hiyo.
muerevu mbona umejaa mihemko tu jukwaani?We nawe kuwa akili na mwili!
Kwa taarifa yako 'waheshimiwa' meshakujua wewe ni nani na location. Tunakupa muda tu ujilengeshe wazee tufanye vitu vyetu. Mark my word!!muerevu mbona umejaa mihemko tu jukwaani?
akili ulizonazo ziko wapi hapo kwenye hiyo mihemko nonsense?
karibuni sana nyumbani nyie wafuata mkumbo malofaKwa taarifa yako 'waheshimiwa' meshakujua wewe ni nani na location. Tunakupa muda tu ujilengeshe wazee tufanye vitu vyetu. Mark my word!!

Swali jepesi sana hilo.Je,Oktoba 29 2025 ulikuwepo?Alete dharau tu.Shida nani wa kumfunga paka kengele??
Siyo kweli.Lissu anajiwakilisha hivyo dola imetumia mwanya huo (loops hole) kumfikisha mahakamani bila ya taarifa kwani yeye ni wakili wa mashitaka dhidi yake mwenyewe!
Nyie ndio mnasababisha visasi na machafuko mabaya kwa kauli zenu za kejeli kama hizi.alikuja tena na chakula chake kwenye mkoba hadi kizimbani?
maana ana minyoo wakali mno yule jamaa dah
Ni muhimu uelewe kwamba Samia hana 'options' tena.Huyu kilaza wa kizimkazi kwann anatuchezea hv halafu tunamuangalia tu wazee
Nakushangaa wewe unayehangaika na maiti.Nyie ndio mnasababisha visasi na machafuko mabaya kwa kauli zenu za kejeli kama hizi.
Hivi unadhani utacheka cheka na kukejeli hivyo siku wanaoonewa wakicharuka na hali kuchafuka? Unajua kuwa makijani ndio wako kwenye risk kuwa ya kuathirika na hali hiyo? Tlaatlaah tumia akili kujiuliza uko sawa?
Another school of thoughtWanataka kumuachia pasipo wananchi kujua. Wanakimbia aibu yao..!!