Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 347
Hii sheria inamlinda mbunge awapo bungeni, i mean kama mbunge, lakin mbunge huyu afukuzwapo na chama chake basi hana chake tena, Anapoteza sifa ya ubunge na hata hiyo sheria haitoi ulinzi tena!
Well said!! CDM hawatamfukuza ubunge bali watamfukuza uanachama wa CDM. Automatically hatakuwa mbunge maana kuwa mbunge lazima utokee kwenye chama. Hatuna independent or non-partisan mps Tanzania