Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,042
- 7,474
Thank u Gsana for this useful post!aisee kama we ni muandishi basi mwandishi wa ngazi ya familia. Hauna professiönal ethics hata robo. Yani unasema umetoa dokezo/suna alaf habari uiweke kwenye gazeti? Itanichukua miaka mingi kujua kama we umesomea uandishi wa habari au ni deiwaka ktk habari. Hauaminiki tena.