Ninyi mpo nchi gani? hata kama mko ulaya hamsomi mitandaoni habari za bongo? eeh! mnatia aibu kwanza yaelekea hamfahamu mahali anapofanyia shopping huyu Shibuda, sasa njoo hapa posta mpya barabara inayokwenda IFM oppsite na Embassy Hotel kuna duka la Imalaseco, njoo uongee naye Shibuda mwenyewe sasa hivi au toka hapo nyumbani kwenu nenda kibanda cha magazeti kaitafute hii habari uisome kwa undani we vipi bhana? unataka utafuniwe kila kitu halafu umeze tu, duuh! hapa tunapeana suna tu mkuu, mi nimekuchomolea tu hii kutoka chumba cha uhariri wa hili gazeti la harakati za mageuzi bongo, nipo hapa nachapa kazi, au nikupatie namba ya Shibuda mwenyewe, ila wabongo noma utaanza kumdisturb, just assure me utakuwa mvumilivu hata msimamo wake ukiwa tofauti na wako nikuunganishe naye sasa hivi mkuu!