Lissu amlima barua Shibuda

Lissu amlima barua Shibuda

wapendwa jana niliweka thread hii kuhusu mustakabali wa shibuda ndani ya chadema kuhusu utovu wake wa nidhani kwenda kinyume na maazimio ya chama chake.
Kama mmesikia leo marin hassan wakati akiohojiana na aliyekuwa katibu wa bunge, george mlawa, ameweka wazi kuwa shibuda anaweza kabisa kulindwa na katiba ibara ya 100 inayomkinga mbunge na kuchukuliwa hatua ya kisheria/uwajibikaji kwa lolote atakalolitamka bungeni. Amekwenda mbali na kutoa mfano wa jidawi aliyekuwa cuf alivyokipeleka chama high court na kushinda kufukuzwa kwake.
Narudia tena busara kubwa itumike ku-handle issue hii.
Fikiri chukua hatua

jiulize sana katibu wa bunge ambaye amekuwa kwenye mapambano na chadema kama vile mwanasiasa leo hii anasimama kumtetea shibuda hapo ndipo utajua kuwa ni shibuda ni mshirika wa nani, huyu ndiye katibu ambaye alisimama kutetea posho kuwa siku kihalali leo anasimama kumtetea shibuda. Huyu inabidi busara itumike kumuondoa kabla hajaleta
uharibifu zaidi maana inaelekea serikali iko tayari kumlinda abaki kuwa mbunge ili waendeleze uharibifu wao.
 
chadema fukuza huyo msaliti kama ccm watamkinga na kumwacha kuwa mbunge hiyo sijui itakuwa katiba ya nchi gani?
kwanza awe si mwanachama wa chadema.huyu marin hasan anajulikana na huyo kibaraka sijui nani nao wote ni walewale.
hata mke kuna mipaka akiivuka ndoa hakuna hata kama kuna m2 wa namna gani atalazimisha iwe kwa sheria au kwa mabavu.
shibuda arudi magamba ni bora kukosa jimbo moja kuliko kuwa na m2 kama huyo.
 
Chadema wana wanasheria wa kutosha na siyo chama cha ubabaishaji kama cuf na kuendelea kumlea mtu wa tabia ya shibuda ni kuwagawa wanachama na kuweka makundi kupoteza mwelekeo wa chama hebu aondolewe na aende zake kwenye magamba
 
Hii sheria inamlinda mbunge awapo bungeni, i mean kama mbunge, lakin mbunge huyu afukuzwapo na chama chake basi hana chake tena, Anapoteza sifa ya ubunge na hata hiyo sheria haitoi ulinzi tena!

Kumbuka alitoa matamshi akiwa Bungeni, huwezi kumwadhibu kwa neno lolote hata kama chafu kiasi gani, ili mradi alikuwa Bungeni. I stand to be corrected!!
 
hamna mwenye uwezo wa kumfukuza chadema

Kwa nini mkuu?kwani katiba za vya hazina vifungu vya kuwafukuza wanachama wanaokwenda kinyume na maadili ya vyama vyao?au kuna vifungu vya kuwalinda mapapeti wa vyama?
 
Kumbuka alitoa matamshi akiwa Bungeni, huwezi kumwadhibu kwa neno lolote hata kama chafu kiasi gani, ili mradi alikuwa Bungeni. I stand to be corrected!!
Hapana! Swala la kuongea bungeni haliusiki hapa, wanachomfukuzia ni swala la kwenda kinyume na maamuzi/msimamo wa chama chake. Kuna mengi sana, mfano kutoshiriki maandamano ambayo yameandaliwa na chama!
 
Ni vizuri watu waache ushabiki na kufahamu kuwa nchi yenu inaongozwa na Utawala wa sheria.

Nilibainisha wazi katika thread iliyopita kuwa kama hawatakuwa na strong reason ya kumfukuza basi atalindwa na kinga za Bunge na ataendelea kuwa mbunge kama ilivyokua kwa Bi Naila Jidawi wa CUF
 
Chadema wana wanasheria wa kutosha na siyo chama cha ubabaishaji kama cuf na kuendelea kumlea mtu wa tabia ya shibuda ni kuwagawa wanachama na kuweka makundi kupoteza mwelekeo wa chama hebu aondolewe na aende zake kwenye magamba

hapa haitaji wanasheria bali kuangalia sheria zinasemaje.
 
mbona yule mwenye kiti wa serikali za mitaa alifukuzwa na kiti kikowazi hapo ukonga ike kuwa mbunge
 
Sidhani kama atafukuzwa, ila anaweza kuondoka mwenyewe, awe akae tu CDM kama sanamu mpaka muda wake ufike aondoke. Mbona kuna wanachama wa NCCR wamepozi CDM ? Mchele utapembuliwa taratibu. Viongozi maslahi hawatakiwi na waropokaji hawatakiwi
 
Ni vizuri watu waache ushabiki na kufahamu kuwa nchi yenu inaongozwa na Utawala wa sheria.

Nilibainisha wazi katika thread iliyopita kuwa kama hawatakuwa na strong reason ya kumfukuza basi atalindwa na kinga za Bunge na ataendelea kuwa mbunge kama ilivyokua kwa Bi Naila Jidawi wa CUF

Kwa ni lazima watumie matamshi aliyoyatoa bungeni kumfukuza?akiendelea kuwepo bungeni baada ya kufukuzwa atakuwa anawakilisha chama gani?itakuwa ni nchi ya vichaa kama ataendelea kuwepo bungeni baada ya kufukuzwa ubunge,na hata huo utawala wa sheria utakuwa hauna mana tena,kitakuwa kituko cha karne!!!
 
mbona yule mwenye kiti wa serikali za mitaa alifukuzwa na kiti kikowazi hapo ukonga ike kuwa mbunge

Wewe na Slaa akili zenu sawa sawa, wewe unafananisha Mbunge na Mwenyekiti wa mtaa? Mbunge inamaana pia na ruzuku inapungua kichwa maji.
 
Nyinyi mnakomaa na kufukuzwa kwa Shibuda, Hii si kazi kubwa kwa chadema . Mbona Magamba yanataka kuwangoa Mapacha watatu faster ili chama kisiharibike. mbona wao wasilindwe na sheria za bunge.
 
Bado ana magamba huyo so kama hataki kujisugua aondoke coz cdm is after peples not 4selfishness. Na haiwezekani kumezea maovu ya m2 kisa2 anawafuasi wengi.u shibuda chadema so kama kule ambako EPA ili2mika kurefund magamba alafu mka2zuga eti zimepotea. Sawa eee, so kaa mkao ppo power itakungoa
 
mbona yule mwenye kiti wa serikali za mitaa alifukuzwa na kiti kikowazi hapo ukonga ike kuwa mbunge
Watu wanaangalia kwa macho ya makengeza hapa inabidi tuache ushabiki wa vyama na kuelewa kuwa Rais,Mbunge,Diwani na mwenyekiti wa serikali za mtaa wanaweza kufukuzwa na vyama vyao na kukosa kabisa sifa ya kuendelea na uwakilishi wa wananchi waliowachagua,labda uwakilishi wake ungekuwa umetokana na ugombea binafsi,utalatibu ambao hautumiki hapa nchini kwetu!!
 
Back
Top Bottom