Ah! Mh Fredrick Mwita Werema ni nani?Kwa taarifa mkuu, tanzania hatuna mwanasheria mkuu.
Wapendwa jana niliweka thread hii kuhusu mustakabali wa Shibuda ndani ya Chadema kuhusu utovu wake wa nidhani kwenda kinyume na maazimio ya chama chake.
Kama mmesikia leo Marin Hassan wakati akiohojiana na aliyekuwa katibu wa Bunge, George Mlawa, ameweka wazi kuwa Shibuda anaweza kabisa kulindwa na Katiba ibara ya 100 inayomkinga Mbunge na KUCHUKULIWA HATUA YA KISHERIA/UWAJIBIKAJI KWA lolote atakalolitamka Bungeni. Amekwenda mbali na kutoa mfano wa Jidawi aliyekuwa CUF alivyokipeleka chama High court na kushinda kufukuzwa kwake.
Narudia tena Busara kubwa itumike ku-handle issue hii.
FIKIRI CHUKUA HATUA
Hawawezi. Maamuzi magumu hayashindikani kwa JK, CCM na SERIKALI yake tu. Ni kaugonjwa ka TANZANIA na WATANZANIA wote.mbona kelele makelele kama mnaweza si mumfukuze!!
mkuu sheria ipo wazi mbunge anakinga kwa lolote asemalo au atendalo akiwa bungeni, hawezi kushitakiwa kwa kitu alichosema au kutenda akiwa bungeni, Chama CDM haina mamlaka ya kumuwajibisha kwa matamshi yake bungeni. Kama amekiuka shreia ndani ya bunge basi kanuni za bunge na bunge ndo linatumika kumwajibisha sio mahakama wala chama unless such miscounduct is criminally in nuture to the extent that immunity is rebbuted.... legal issue are dealt with laws not politics, maamizi mengi yana igharimu hii inchi na taasisi tofauti kwa kukuika vipengele vidgo sana, maamuzi ya kukulupuka bila kujua sheri inasemaje itatucost.... ngoja nikupe mfano.... wewe ni bosi, mfanya kazi wako kaiibia kampuni na umemkata, kwa kukurupuka unamfukuza bila kumpa haki ya kumsikilza, akienda mahakmani utamlipa fidia kubwa ya mshahra wa miezi isyopungua 12.... unaona tonavyopteza haki kwa uzembe mdogoHii sheria inamlinda mbunge awapo bungeni, i mean kama mbunge, lakin mbunge huyu afukuzwapo na chama chake basi hana chake tena, Anapoteza sifa ya ubunge na hata hiyo sheria haitoi ulinzi tena!
Powers and Privileges of Parliament"100.-(1) There shall be freedom of opinion, debate and procedure of business in the National Assembly, and that freedom shall not be breached or questioned by any organ in the United Republic or in any court or elsewhere outside the National Assembly. (2) Subject to this Constitution or to the provisions of any other relevant law, a Member of Parliament shall not be prosecuted and no civil proceedings may be instituted against him in a court in relation to any thing which he said or done in the National Assembly or has submitted to the National Assembly by way of a petition, bill, motion or otherwise."Je, Shibuda analindwa na Ibara hiyo?Nakushauri upitie katiba ya Tanzania usome ibara ya 100 inasemaje
Na KATIBA ya CHADEMA inasemaje kuhusu kumfukuza mtu uanachama?Powers and Privileges of Parliament"100.-(1) There shall be freedom of opinion, debate and procedure of business in the National Assembly, and that freedom shall not be breached or questioned by any organ in the United Republic or in any court or elsewhere outside the National Assembly. (2) Subject to this Constitution or to the provisions of any other relevant law, a Member of Parliament shall not be prosecuted and no civil proceedings may be instituted against him in a court in relation to any thing which he said or done in the National Assembly or has submitted to the National Assembly by way of a petition, bill, motion or otherwise."Je, Shibuda analindwa na Ibara hiyo?
mkuu kinga ina mipaka, hata uhuru wa kutoa maoni pia unamipaka, kinga ni kwa shughuli rasmi za kibunge, hata akitoa matusi bunge kwa kanuni za bunge litamtaka afute kauili kwanza, akigoma hatua nyingine zitafuata, unapoongea fikilia sipendi kushusha udhamini was uwezo ako wa kufikilia ila pia sidhani unaweza kumpigia kula mtu wa kwenda kutukna bungeniKama unataka kujua kwamba hiyo sheria ni ya Kisese, jaribu siku moja kumtukana Mkwekwe pale bungeni ndio utajua kama kweli kuna kinga hiyo au la. Ni hao hao vibaraka kama Kashilila ndio watakaotuambia kwamba kinga kama hiyo hakuna
hata kaitiba ya chadema isemeje, sheria yoyote inayopingana au inayoenda kinyume na KATIBA YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ni batili, null and voidNa KATIBA ya CHADEMA inasemaje kuhusu kumfukuza mtu uanachama?
Powers and Privileges of Parliament"100.-(1) There shall be freedom of opinion, debate and procedure of business in the National Assembly, and that freedom shall not be breached or questioned by any organ in the United Republic or in any court or elsewhere outside the National Assembly. (2) Subject to this Constitution or to the provisions of any other relevant law, a Member of Parliament shall not be prosecuted and no civil proceedings may be instituted against him in a court in relation to any thing which he said or done in the National Assembly or has submitted to the National Assembly by way of a petition, bill, motion or otherwise."Je, Shibuda analindwa na Ibara hiyo?
mkuu sheria ipo wazi mbunge anakinga kwa lolote asemalo au atendalo akiwa bungeni, hawezi kushitakiwa kwa kitu alichosema au kutenda akiwa bungeni, Chama CDM haina mamlaka ya kumuwajibisha kwa matamshi yake bungeni. Kama amekiuka shreia ndani ya bunge basi kanuni za bunge na bunge ndo linatumika kumwajibisha sio mahakama wala chama unless such miscounduct is criminally in nuture to the extent that immunity is rebbuted.... legal issue are dealt with laws not politics, maamizi mengi yana igharimu hii inchi na taasisi tofauti kwa kukuika vipengele vidgo sana, maamuzi ya kukulupuka bila kujua sheri inasemaje itatucost.... ngoja nikupe mfano.... wewe ni bosi, mfanya kazi wako kaiibia kampuni na umemkata, kwa kukurupuka unamfukuza bila kumpa haki ya kumsikilza, akienda mahakmani utamlipa fidia kubwa ya mshahra wa miezi isyopungua 12.... unaona tonavyopteza haki kwa uzembe mdogo
Nani amtimue? utawala wa cdm wamesha ona lakini wakimgusa tu jimbo hilo bye bye. mtakuwa mnalisikilizia kwenye mitandao. kwani mpaka kuhama chama na ghafla kushinda inaonekana jimboni kwake anakubalika yeye kama yeye na siyo chama.