Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Huu ndio mfumo mpya tunaoanza nao hapa Musoma, wale wote wasiotoa mchango kwa maslahi ya wananchi wanaoteswa na mfumo wa serikari ya sasa iliyoko madarakani tutashughulika nao kwa njia hiyo ya kuwaambia 'siyoo' mara wafikapo majimboni mwetu. Wanawashinda wabunge wa CHADEMA pale bungeni kwa wingi wa idadi, nasi tutawakataa kwa nguvu ya umma huku kwa wapiga kura. Vicent Nyerere hongera kazi iko wazi inaonekana.