Lissu ajenga Hoja nzito ya kwa nini anakemea Rushwa ndani ya Chana hadharani- Ameeleweka

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,575
51,373
Akiongea na wananchi wa Mpwapwa Jana, Ndugu Lissu anasema kuwa Wiki takriban mbili amekuwa akishambuliwa "kisiasa" na watu wa makundi matatu kutokana na kauli zake za kuhoji aina ya muungano tulionao na pia kwa kukemea rushwa ndani ya chama.

Amesema kuna makundi matatu yameng'aka kwa kauli zake. Makundi hayo ni Wana CCM kama Mzee Kinana, Amos Makalla na Nape, Halima Mdee na baadhi ya Wanachadema wenzie.

Kundi la CCM limekerwa na Kauli za Lissu za Kuhoji Mzanzibari kutawala Tanganyika na kuwaamulia Watanganyika mambo ambayo ni ya Kitanganyika na wala siyo hata ya Muungano, wakati Wazanzibari kule Zanzibar maslahi yao wameyalinda kikamilifu kupitia katiba yao ya Zanzibar na serikali yao ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kundi la Halima Mdee, Lissu anasema ameshangaa Mdee kaingiaje ktk kukerwa na kauli zake huko Iringa, lakini akasema kuwa kutokana na historia ya Mdee kuhongwa Ubunge hawezi kushangaa kwa nini Mdee Kakerwa na kauli yake ya kujemea rushwa hadharani.

Kundi la Tatu la baadhi ya Wanachadema, Lissu anasema kuwa hilo kundi halikatai kuwa alichosema ni kweli, ila linataka haya aliyoyasema akayasemee ndani ya chama, sirini.

Lissu akajibu hoja kuwa kwa nini ameyasema hadharani. Amesema kuwa.

1. Rushwa ni adui wa haki, ni lazima apigwe vita hadharani na sirini.

2. Pili, akasema kuwa kukemea rushwa hadharani kunawafanya wananchi wajue kuwa chama hakitaki mchezo na rushwa, na hii inakijenga chama zaidi kuliko kukibomoa. Ukikemea rushwa sirini wananchi hawatajua kuwa mnakemea rushwa.

3. Tatu, amesema kuwa Chadema siyo malaika, na pia huko nyuma chama kimeumizwa sana na rushwa kwa viongozi wake. Akasema kuwa Makatibu wakuu watatu wa chama huko nyuma wamewahi kununuliwa, akamtaja Walid Kaborou, Mashinji, Dr Slaa ( Kwa huyu sikubaliani naye, Slaa ni mzalendo aliyekataa rushwa ya Lowasa). Kwa hiyo ni muhimu kuipiga vita rushwa ya CCM dhidi ya CHADEMA sana maana ikiachwa inaweza kuumiza chama zaidi.

Alipotoa hoja hizi, wananchi waliokuwa wametulia wakimsikiliza walionywsha kumuelewa kwa kupiga makofi.

Kazi iendelee
 
Akiongea na wananchi wa Mpwapwa Jana, Ndugu Lissu anasema kuwa Wiki takriban mbili amekuwa akishambuliwa "kisiasa" na watu wa makundi matatu kutokana na kauli zake za kuhoji aina ya muungano tulionao na pia kwa kukemea rushwa ndani ya chama.

Amesema kuna makundi matatu yameng'aka kwa kauli zake. Makundi hayo ni Wana CCM kama Mzee Kinana, Amos Makalla na Nape, Halima Mdee na baadhi ya Wanachadema wenzie.

Kundi la CCM limekerwa na Kauli za Lissu za Kuhoji Mzanzibari kutawala Tanganyika na kuwaamulia Watanganyika mambo ambayo ni ya Kitanganyika na wala siyo hata ya Muungano, wakati Wazanzibari kule Zanzibar maslahi yao wameyalinda kikamilifu kupitia katiba yao ya Zanzibar na serikali yao ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kundi la Halima Mdee, Lissu anasema ameshangaa Mdee kaingiaje ktk kukerwa na kauli zake huko Iringa, lakini akasema kuwa kutokana na historia ya Mdee kuhongwa Ubunge hawezi kushangaa kwa nini Mdee Kakerwa na kauli yake ya kujemea rushwa hadharani.

Kundi la Tatu la baadhi ya Wanachadema, Lissu anasema kuwa hilo kundi halikatai kuwa alichosema ni kweli, ila linataka haya aliyoyasema akayasemee ndani ya chama, sirini.

Lissu akajibu hoja kuwa kwa nini ameyasema hadharani. Amesema kuwa.

1. Rushwa ni adui wa haki, ni lazima apigwe vita hadharani na sirini.

2. Pili, akasema kuwa kukemea rushwa hadharani kunawafanya wananchi wajue kuwa chama hakitaki mchezo na rushwa, na hii inakijenga chama zaidi kuliko kukibomoa. Ukikemea rushwa sirini wananchi hawatajua kuwa mnakemea rushwa.

3. Tatu, amesema kuwa Chadema siyo malaika, na pia huko nyuma chama kimeumizwa sana na rushwa kwa viongozi wake. Akasema kuwa Makatibu wakuu watatu wa chama huko nyuma wamewahi kununuliwa, akamtaja Walid Kaborou, Mashinji, Dr Slaa ( Kwa huyu sikubaliani naye, Slaa ni mzalendo aliyekataa rushwa ya Lowasa). Kwa hiyo ni muhimu kuipiga vita rushwa ya CCM dhidi ya CHADEMA sana maana ikiachwa inaweza kuumiza chama zaidi.

Alipotoa hoja hizi, wananchi waliokuwa wametulia wakimsikiliza walionywsha kumuelewa kwa kupiga makofi.

Kazi iendelee
duh!!! kumbe mpaka wenzake wa chadema wamekerwa na upuuzi wake.
 
Akiongea na wananchi wa Mpwapwa Jana, Ndugu Lissu anasema kuwa Wiki takriban mbili amekuwa akishambuliwa "kisiasa" na watu wa makundi matatu kutokana na kauli zake za kuhoji aina ya muungano tulionao na pia kwa kukemea rushwa ndani ya chama.

Amesema kuna makundi matatu yameng'aka kwa kauli zake. Makundi hayo ni Wana CCM kama Mzee Kinana, Amos Makalla na Nape, Halima Mdee na baadhi ya Wanachadema wenzie.

Kundi la CCM limekerwa na Kauli za Lissu za Kuhoji Mzanzibari kutawala Tanganyika na kuwaamulia Watanganyika mambo ambayo ni ya Kitanganyika na wala siyo hata ya Muungano, wakati Wazanzibari kule Zanzibar maslahi yao wameyalinda kikamilifu kupitia katiba yao ya Zanzibar na serikali yao ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kundi la Halima Mdee, Lissu anasema ameshangaa Mdee kaingiaje ktk kukerwa na kauli zake huko Iringa, lakini akasema kuwa kutokana na historia ya Mdee kuhongwa Ubunge hawezi kushangaa kwa nini Mdee Kakerwa na kauli yake ya kujemea rushwa hadharani.

Kundi la Tatu la baadhi ya Wanachadema, Lissu anasema kuwa hilo kundi halikatai kuwa alichosema ni kweli, ila linataka haya aliyoyasema akayasemee ndani ya chama, sirini.

Lissu akajibu hoja kuwa kwa nini ameyasema hadharani. Amesema kuwa.

1. Rushwa ni adui wa haki, ni lazima apigwe vita hadharani na sirini.

2. Pili, akasema kuwa kukemea rushwa hadharani kunawafanya wananchi wajue kuwa chama hakitaki mchezo na rushwa, na hii inakijenga chama zaidi kuliko kukibomoa. Ukikemea rushwa sirini wananchi hawatajua kuwa mnakemea rushwa.

3. Tatu, amesema kuwa Chadema siyo malaika, na pia huko nyuma chama kimeumizwa sana na rushwa kwa viongozi wake. Akasema kuwa Makatibu wakuu watatu wa chama huko nyuma wamewahi kununuliwa, akamtaja Walid Kaborou, Mashinji, Dr Slaa ( Kwa huyu sikubaliani naye, Slaa ni mzalendo aliyekataa rushwa ya Lowasa). Kwa hiyo ni muhimu kuipiga vita rushwa ya CCM dhidi ya CHADEMA sana maana ikiachwa inaweza kuumiza chama zaidi.

Alipotoa hoja hizi, wananchi waliokuwa wametulia wakimsikiliza walionywsha kumuelewa kwa kupiga makofi.

Kazi iendelee
Mtundu Lissu anajua, rushwa haina chama isipokuwa tu chama kikika muda mrefu kinanza kutumia rushwa kubaki kula rushwa, that is CCM.
 
Akiongea na wananchi wa Mpwapwa Jana, Ndugu Lissu anasema kuwa Wiki takriban mbili amekuwa akishambuliwa "kisiasa" na watu wa makundi matatu kutokana na kauli zake za kuhoji aina ya muungano tulionao na pia kwa kukemea rushwa ndani ya chama.

Amesema kuna makundi matatu yameng'aka kwa kauli zake. Makundi hayo ni Wana CCM kama Mzee Kinana, Amos Makalla na Nape, Halima Mdee na baadhi ya Wanachadema wenzie.

Kundi la CCM limekerwa na Kauli za Lissu za Kuhoji Mzanzibari kutawala Tanganyika na kuwaamulia Watanganyika mambo ambayo ni ya Kitanganyika na wala siyo hata ya Muungano, wakati Wazanzibari kule Zanzibar maslahi yao wameyalinda kikamilifu kupitia katiba yao ya Zanzibar na serikali yao ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kundi la Halima Mdee, Lissu anasema ameshangaa Mdee kaingiaje ktk kukerwa na kauli zake huko Iringa, lakini akasema kuwa kutokana na historia ya Mdee kuhongwa Ubunge hawezi kushangaa kwa nini Mdee Kakerwa na kauli yake ya kujemea rushwa hadharani.

Kundi la Tatu la baadhi ya Wanachadema, Lissu anasema kuwa hilo kundi halikatai kuwa alichosema ni kweli, ila linataka haya aliyoyasema akayasemee ndani ya chama, sirini.

Lissu akajibu hoja kuwa kwa nini ameyasema hadharani. Amesema kuwa.

1. Rushwa ni adui wa haki, ni lazima apigwe vita hadharani na sirini.

2. Pili, akasema kuwa kukemea rushwa hadharani kunawafanya wananchi wajue kuwa chama hakitaki mchezo na rushwa, na hii inakijenga chama zaidi kuliko kukibomoa. Ukikemea rushwa sirini wananchi hawatajua kuwa mnakemea rushwa.

3. Tatu, amesema kuwa Chadema siyo malaika, na pia huko nyuma chama kimeumizwa sana na rushwa kwa viongozi wake. Akasema kuwa Makatibu wakuu watatu wa chama huko nyuma wamewahi kununuliwa, akamtaja Walid Kaborou, Mashinji, Dr Slaa ( Kwa huyu sikubaliani naye, Slaa ni mzalendo aliyekataa rushwa ya Lowasa). Kwa hiyo ni muhimu kuipiga vita rushwa ya CCM dhidi ya CHADEMA sana maana ikiachwa inaweza kuumiza chama zaidi.

Alipotoa hoja hizi, wananchi waliokuwa wametulia wakimsikiliza walionywsha kumuelewa kwa kupiga makofi.

Kazi iendelee
Umemaliza uzi kwa porojo sana.Umekataa Slaa hakununuliwa kwa "rushwa" ya Lowassa;Vipi ile rushwa ya ubalozi wenye "pekeji" ya mamilioni kutoka kwa John Magufuli?
 
Umemaliza uzi kwa porojo sana.Umekataa Slaa hakununuliwa kwa "rushwa" ya Lowassa;Vipi ile rushwa ya ubalozi wenye "pekeji" ya mamilioni kutoka kwa John Magufuli?

Slaa aligoma kumuendorse Lowasa , mtu ambaye Chadema ilimuweka katika List of shame na kuwatangazia Watanzania kuwa hafai. Ingekuwa ajabu sana Slaa angezunguuka mikoani na kumnadi Lowasa mtu ambaye anasema alikuwa na ushahidi na vielelezo kuwa si msafi hata kidogo linapokuja suala la rushwa.

Kuhusu kuteuliwa kuwa balozi na rais Magufuli. Aliteuliwa baada ya kuwa ameshajiweka pembeni Chadema kutokana na akina Mbowe kulamba matapishi yao dhidi ya EL
 
Akiongea na wananchi wa Mpwapwa Jana, Ndugu Lissu anasema kuwa Wiki takriban mbili amekuwa akishambuliwa "kisiasa" na watu wa makundi matatu kutokana na kauli zake za kuhoji aina ya muungano tulionao na pia kwa kukemea rushwa ndani ya chama.

Amesema kuna makundi matatu yameng'aka kwa kauli zake. Makundi hayo ni Wana CCM kama Mzee Kinana, Amos Makalla na Nape, Halima Mdee na baadhi ya Wanachadema wenzie.

Kundi la CCM limekerwa na Kauli za Lissu za Kuhoji Mzanzibari kutawala Tanganyika na kuwaamulia Watanganyika mambo ambayo ni ya Kitanganyika na wala siyo hata ya Muungano, wakati Wazanzibari kule Zanzibar maslahi yao wameyalinda kikamilifu kupitia katiba yao ya Zanzibar na serikali yao ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Kundi la Halima Mdee, Lissu anasema ameshangaa Mdee kaingiaje ktk kukerwa na kauli zake huko Iringa, lakini akasema kuwa kutokana na historia ya Mdee kuhongwa Ubunge hawezi kushangaa kwa nini Mdee Kakerwa na kauli yake ya kujemea rushwa hadharani.

Kundi la Tatu la baadhi ya Wanachadema, Lissu anasema kuwa hilo kundi halikatai kuwa alichosema ni kweli, ila linataka haya aliyoyasema akayasemee ndani ya chama, sirini.

Lissu akajibu hoja kuwa kwa nini ameyasema hadharani. Amesema kuwa.

1. Rushwa ni adui wa haki, ni lazima apigwe vita hadharani na sirini.

2. Pili, akasema kuwa kukemea rushwa hadharani kunawafanya wananchi wajue kuwa chama hakitaki mchezo na rushwa, na hii inakijenga chama zaidi kuliko kukibomoa. Ukikemea rushwa sirini wananchi hawatajua kuwa mnakemea rushwa.

3. Tatu, amesema kuwa Chadema siyo malaika, na pia huko nyuma chama kimeumizwa sana na rushwa kwa viongozi wake. Akasema kuwa Makatibu wakuu watatu wa chama huko nyuma wamewahi kununuliwa, akamtaja Walid Kaborou, Mashinji, Dr Slaa ( Kwa huyu sikubaliani naye, Slaa ni mzalendo aliyekataa rushwa ya Lowasa). Kwa hiyo ni muhimu kuipiga vita rushwa ya CCM dhidi ya CHADEMA sana maana ikiachwa inaweza kuumiza chama zaidi.

Alipotoa hoja hizi, wananchi waliokuwa wametulia wakimsikiliza walionywsha kumuelewa kwa kupiga makofi.

Kazi iendelee
Safi huyu ndo kiongozi tunayemtaka
Wanaompinga ni Wala rushwa
 
Back
Top Bottom