Huu ni msafara wa Magufuli unaijua gharama yake... na chopa ya jeshi juu.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
Huu ni msafara wa Magufuli unaijua gharama yake... na chopa ya jeshi juu.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Kwa hiyo nyie hamtaki afanye kampeni??!!CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Anayeaminiwa na nyumbu, sio watanzania tuheshimiane.Tundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.
#Niyeye2020
Kazi inaendeleaCCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Beberu ametoa advanceMatumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Don't be pessimistic.R.i.P Deo Filikunjombe...
Naunga mkono hojaWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Na mumeo pia anamini hvyo ni wew tu na michepuko yako hapo lumumbaWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Lazima tumchangie, CCM so wao wamejichotea Kodi zetu!Mtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Wewe ni mwanaCCM wa wapi!?Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
.........Don't be pessimistic.
Inakuuma?Mtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Ndio,tuko tayari muda wowote na saa yoyote.Mtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Kwa safari ya Dsm- Moro hawezi kusimama kila kituo aongeee.... yaani aanzie Ubungo, Kimara, Mbezi, Temboni, Mpakani, Maili 1, Picha ya Ndege, Kwa Mbonde, Kwa Mathias, Msikitini, Kwa Mfipa, Miembe 7, Mwendapole, Tanita, Kongowe, Misugusugu, Kwa Kipofu, Misufini, Madafu, Mlandizi, Ruvu, Vigwaza, Chamakweza, Chalinze, Msolwa, NJiapanda Msata, Ubena, Mdaula...... nakuambia atafika Moro February 2021Safi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
Mshamba tuTundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.
#Niyeye2020