Lipumba yuko 'blackmailed'?

The "system" is trying to rig this election in order to create internal conflict. Nani anafaidika kwa huu mtafaruku ndani ya CUF? Jibu unalo Mkuu.

Wanaompa maagizo
huoni alikuwa analindwa na polisi?
jiulize polisi wanawezaje kumlinda mtu bila 'amri kutoka mamlaka ya juu'?
 
Kajitia aibu sana, huyu ni msomi wa kiwango cha juu katika ubobezi wa uchumi, dunia inamhitaji sasa iweje aendelee kung'ang'ania siasa wakati siasa imeisha mkataa baada tu ya kitendo chake cha usaliti. Mtu anapelekeshwa kama mtoto aibu sana
 
Maswala ya kusema kwamba Prof. Lipumba anategemewa na dunia katika maswala ya uchumi ni uongo ulio wazi.

Prof. Lipumba anawashauri kiuchumi Uganda lakini hata sisi Tanzania tunawashinda kwa hiyo ni uongo. Yeye angewashauri na wakatushinda ningemkubali
 
Hao wanaompa polisi kumlinda na kumsaidia kuleta mtafaruku ndani ya CUF kwanini wasimkaribishe wao kwenye chama chao? Au wanaona ana umuhimu mkubwa kwao kuendelea kubaki ndani ya CUF kuliko akiwemo ndani ya chama chao!?

Mkuu The Boss, hakuna blackmail yoyote bali amejichanganya tuu kwa kupagawa baada ya lile fungu kuisha.

Prof. Lipumba japo kitaaluma ni mchumi, ila kiukweli he is a politician by professional, ameifanya siasa ndio ajira yake ya kudumu na hana shughuli nyingine yoyote ya kufanya, au jambo jingine lolote la kufanya ili kuendesha maisha kama yule dr mihogo!.

Mtu amegombea mara 4 na zote amekataliwa hakuwahi kupata hata asilimia 5% lakini kila baada ya miaka 5 lazima awe mgombea wa CUF hadi kufikia yeye na sharubu kujihesabu wao ndio wagombea pekee wa kudumu wa CUF kwenye urais, ndio maana kuliko kukosa kugombea, bora apokee kile kidogodogo cha CCM, na kujitoa ili CUF ivunjike!, kajitoa, CUF haikuvunjika!, fungu alilopewa ni kiduchu tuu!, afadhali mwenzake kapewa mkataba mrefu, yeye fungu limeishamuishia na hana namna nyingine yoyote ya kuendesha maisha yake!.

Sasa CUF wasipomrudisha atafanya nini kingine?!, kwa sababu ubunge au udiwani hawezi kupata kwa sababu hachaguliki!, unategemea nini kwa mtu kama huyu?!, hivyo juhudi zote unazoziona za kumrejesha ni kwa sababu he has nothing else to do.

Ninawaomba CUF please mrudisheni tuu Prof. Lipumba kwenye nafasi yake vinginevyo atapata psychological depression na hatimaye kuja...

Pasco
 
Pesa ni sumu kali inakuvua nguo wakati hupendi vilevile pesa ni tamu mana unakuwa una Power ukitakacho kinafanyika kwa wakati mwafaka..Lipumba pumzika kabla hawajakuacha mtupu
 
Heshima yake iliharibika alipojitoa tu sasa changanya na hili la kutaka kurudi kabisa kaishaharibu
 
Kumbuka kuwa yeye ndiye aliyemkaribisha na sisi tuliokuwepo tunajua kila kitu.. Swali la kujiuliza ni kwanini baada tu ya kumaliza huo mpango akasaliti?
Hujui propaganda za kisiasa Dk Slaa akamkaribisha wapi Lowassa? Elewa Lowassa alienda Chadema kila kitu kikiwa kimeishatafunwa hata yeye alimpokea kama dodoki tu hakuwa na cha kufanya.

Ndiyo maana baada ya akili kumrudia akaamua kuingia mafichoni na baadaye akajiondoa kuachana na undumila kuwili wa akina Mbowe.
 
Nadhani pale Tabora kuna nuksi, mji wenye zaidi ya miaka 100 na hauendelei. Ukijumlisha Lipumba na Mapalala unapata jibu.
 
Kimsingi CUF ilianzishwa bara...


Hivi leo unadhani CUF ikivunjika upande upi utaumia? Bara au visiwani?

BTW CUF bara kuna mamluki wengi..afadhali Zanzibar wanaonekana wako serious...CUF Zanzibar wanamaanisha business sio ma puppet kina lipumba
 
Hivi mnamkumbuka Lamwai?

Mnamkumbuka alivyokuwa anaikosesha usingizi serikali ya Mkapa?
Halafu siku moja tukasikia 'ameenda kumuomba Mkapa radhi hadharani'?
Na picha zikatoka kwenye magazeti akiomba radhi?
Mwisho akapewa ubunge....?

Mpaka leo huwa bado namkumbuka Lamwai....alibanwa kila njia hadi 'akasalimu amri'

Baada ya kuona leo Lipumba yuko na polisi lakini body language yake na sura yake ni kama 'anapokea tu maagizo' kama anayoyafanya 'hayako moyoni'

Nimejiuliza isije kuwa yuko 'blackmailed'?

Watu wakiwa 'blackmailed' hufanya jambo kinyume na utashi wa roho yake....kwa kuhofia tu akikataa 'watamkomesha'

Lipumba sio mtu wa kukusanywa na kina Kambaya na kupewa tu maagizo fanyeni hiki.

Lipumba shughuli zake za kiuchumi anahitajika dunia nzima.
Inakuaje leo anakusanywa na watu wa kukodi kwenda kuharibu mkutano?
kuna nini?

Hata yeye Lipumba ukimtazama sura ni kama yuko way uncomfortable kabisa na kinachoendelea lakini ndo 'hana jinsi' inabidi 'awatii' 'the people behind' ili tu 'wasimkomeshe.

Tusije kuwa tunamlaumu 'the victim' tu hapa.
Lipumba.jpg
 
Mkuu The Boss, hakuna blackmail yoyote bali amejichanganya tuu kwa kupagawa baada ya lile fungu kuisha.

Prof. Lipumba japo kitaaluma ni mchumi, ila kiukweli he is a politician by professional, ameifanya siasa ndio ajira yake ya kudumu na hana shughuli nyingine yoyote ya kufanya, au jambo jingine lolote la kufanya ili kuendesha maisha kama yule dr mihogo!.

Mtu amegombea mara 4 na zote amekataliwa hakuwahi kupata hata asilimia 5% lakini kila baada ya miaka 5 lazima awe mgombea wa CUF hadi kufikia yeye na sharubu kujihesabu wao ndio wagombea pekee wa kudumu wa CUF kwenye urais, ndio maana kuliko kukosa kugombea, bora apokee kile kidogodogo cha CCM, na kujitoa ili CUF ivunjike!, kajitoa, CUF haikuvunjika!, fungu alilopewa ni kiduchu tuu!, afadhali mwenzake kapewa mkataba mrefu, yeye fungu limeishamuishia na hana namna nyingine yoyote ya kuendesha maisha yake!.

Sasa CUF wasipomrudisha atafanya nini kingine?!, kwa sababu ubunge au udiwani hawezi kupata kwa sababu hachaguliki!, unategemea nini kwa mtu kama huyu?!, hivyo juhudi zote unazoziona za kumrejesha ni kwa sababu he has nothing else to do.

Ninawaomba CUF please mrudisheni tuu Prof. Lipumba kwenye nafasi yake vinginevyo atapata psychological depression na hatimaye kuja...

Pasco
Pasco maoni na ushauri wako si sahihi. Lipumba is not desperate to that level. Lipumba ni kiongozi wa TANU Youth League - enzi Kikwete akiwa mwenyekiti (UDSM 1973). Lipumba alitokea Tabora Boys (PCM) akiwa na akina Mukandala na Kaberuka. Hao wote walipata div.I F.6 PCM lakini hakuna aliyeslma Engeneering. Hiyo haikuwa accident either; Mukandala alisoma political science na Lipumba na Kaberuka walisoma Arts -Economics. Wote walikuwa recruited tangu wakiwa Tabora boys. Lipumba yuko kazini. Hints:
1. Kutoka ushauri wa Rais (TZ), kwenda ushauri wa Rais (Uganda) halafu kujiunga na kugombea upinzani (chama kilichokuwa kikipigiwa kelele kuwa ni chama cha waislam).

2. Sababu ya kifo cha Hayati Prof. Kighoma Ali Malima vis-a-vis kuongoza chama cha upinzani kilichodhaniwa kuwa cha waislam (NAREA).

3. Vituko vyake wakati wa kutafuta mgombea urais wa UKAWA (2015), kumkaribisha Lowasa na baadaye kujikata 'ki aina' (actually hiyo ilikuwa plan B baada plan ya awali kukwama kutokana na Lowasa kujiunga UKAWA).

Lipumba will always be there doing this and that so long as it gives vent to his principal, basi.
 
Mkuu The Boss, hakuna blackmail yoyote bali amejichanganya tuu kwa kupagawa baada ya lile fungu kuisha.

Prof. Lipumba japo kitaaluma ni mchumi, ila kiukweli he is a politician by professional, ameifanya siasa ndio ajira yake ya kudumu na hana shughuli nyingine yoyote ya kufanya, au jambo jingine lolote la kufanya ili kuendesha maisha kama yule dr mihogo!.

Mtu amegombea mara 4 na zote amekataliwa hakuwahi kupata hata asilimia 5% lakini kila baada ya miaka 5 lazima awe mgombea wa CUF hadi kufikia yeye na sharubu kujihesabu wao ndio wagombea pekee wa kudumu wa CUF kwenye urais, ndio maana kuliko kukosa kugombea, bora apokee kile kidogodogo cha CCM, na kujitoa ili CUF ivunjike!, kajitoa, CUF haikuvunjika!, fungu alilopewa ni kiduchu tuu!, afadhali mwenzake kapewa mkataba mrefu, yeye fungu limeishamuishia na hana namna nyingine yoyote ya kuendesha maisha yake!.

Sasa CUF wasipomrudisha atafanya nini kingine?!, kwa sababu ubunge au udiwani hawezi kupata kwa sababu hachaguliki!, unategemea nini kwa mtu kama huyu?!, hivyo juhudi zote unazoziona za kumrejesha ni kwa sababu he has nothing else to do.

Ninawaomba CUF please mrudisheni tuu Prof. Lipumba kwenye nafasi yake vinginevyo atapata psychological depression na hatimaye kuja...

Pasco
 
Mwanzoni nilimchukia LI-pumba lkn sasa namhurumia. Mungu aniepushie mwisho huu mbaya.
 
Wanaompa maagizo
huoni alikuwa analindwa na polisi?
jiulize polisi wanawezaje kumlinda mtu bila 'amri kutoka mamlaka ya juu'?
Sasa'apo unasemaje ka-blackmailiwa badala ya kusema yeye ndiye aliyeki-blackmail Cuf! Usahihi ni upi?
 
Dhambi ya usaliti ndio inayomtesa
Nasikia hata kuamua kujiuzuru si nia yake kwa mapenzi yake,alishinikizwa kama wazaramo wanavyoshinikizwa kuhama makwao, katikati ya Dar. Mtu anafukuzwa kwa dau! "Chukua mil.50,kesho uhame nisikuone hapa" Ndivyo alivyoshinikizwa kuachia ngazi.
Ivi wewe hiyo "dilemma" yake ya sitakinataka,inaweza kufanywa na msomi ngazi ya professor?
 
Back
Top Bottom