X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,712
- 14,833
Saivi yuku na polisi bega kwa bega akati..walimpaga kipigo cha mbwa mwizi
ilikuwa hivi siku ile watu walipigwa na wengine walikamatwa na hao hao polisi leo wamekuwa msaada mkubwa sana kwake duh tuliangalie hilo kwa jicho la pili.