CHADEMA msigombane na mbwa (read CUF) gombaneni na mwenye mbwa (read CCM)
CUF ni makahaba wa kisiasa, wapuuzwe tu kama changu doa wengine, wala viongozi wa CDM wasihangaike kujibu ----- wa Lipumba.Kila mwenye akili anajua CUF ni wakala wa CCM.
Msishangae hao ni tawi la sisiemu. Wameamua kuungana na wala nchi....... lakini hukumu yao inawangojea...... si muda mrefu.
CHADEMA msigombane na mbwa (read CUF) gombaneni na mwenye mbwa (read CCM)
Huyu mchumi wa ajabu kabisa...yeye Tanzania ni Pangani,Kigoma,Lindi,Tabora,Tanga na Zanzibar tu....karibu Arusha uje useme utumbo wako
Kila iitwapo leo nazid kushuhudia ushndi wa CDM, si ajabu Mkwere akasimama na kultangazia taifa kua sasa mim nimechoka kuongelewa, haya CDM ingien ikulu tuone bas kama mtaiweza nchi hii! Hivi niulze, mbona vyama hv vngne vmeishikia bango CDM, wanaiongea km vle ndo ipo madarakani! Jamen ccm A na ccm B juen kuwa CDM ipo bench, ila tu inajianda kuchukua nafas yake pale mnapokwenda kufa, nachowaomben waachien nafas ikiwa bado ina ahuen kdg, msiharb jamen. Bt endeleen kuipigia campen CDM uku mkiendelea kulhudumia taifa vzr coz mkijisahau tutawazukia huko huko coz HATUSHINDWI!
Msishangae hao ni tawi la sisiemu. Wameamua kuungana na wala nchi....... lakini hukumu yao inawangojea...... si muda mrefu.
Du siasa ni kazi sana
sababu Lipumba ameamua kugaragaza kabisa elimu yake kwa ajili ya siasa za namna hii
Hawa ni cuf au chafu? siasa ya cdm imeenda shule ndo maana ikiamua kutesa fisadi ama mpumbavu wa siasa haichagui kama yupo madarakani au la. Lipumba ni kapera aliyeshindwa kuleta maendeleo kijijini kwake ilolangulu (uyui) kwani mpaka leo hata akienda kwao Tabora analala taboa mjini hana nyumba ya kueleweka pale kijijini kwake.
Sasa iweje leo tumpe nchi aijenge kama sio jinamizi lililotumwa kui haribu Tanzania.
Toka nianze kusikia cuf mwenyekiti ni lipumba, kwa nn asiwaachie na wenzake wajaribu kidogo, au huko cuf yeye ndio great thinker, yaani huyu jamaa hajawahi kusema cha maana, ina maana kweli haoni uozo wa ccm, hivi suala ni mpiga disco au ni deliverables, yeye na vyeti vyake amefanya nini cha maana, shame on him
Mfa maji haachi kutapa. Naomba uongozi wa CDM kumpuuza Lipumba. Husikubali kumpa heshima asiyostahili kwa kujibu hoja zake za kipuuzi.
Chama Tawala? mbona hawana kauli yeyote katika serikali ya Znz? Hukumsikia Shein sikukuu ya mapinduzi kuwa wanatekaleza sera za CCM kwenda mbele na Maalim Seif akabaki anakodoa macho. CUF sio chama tawala ila ni hawara(concubine) wa chama Tawala.
Hayo ndo matatizo ya ndoa ya mkeka kati ya CCM na CUF
Eleleeleeeeeeeeee iiiiiiiiiiiiiiiiii uuuuuuuuuuuuuuuuuu walisema aolewi mbona kaolewa hiiiiiiiiiii
wenye wivu wajinyonge uuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
mbola aolewa awoooooooooo
atakama muoaji ni sho, aijalishiiiiiiiiiiiiiii mbona kaolewa uuuuuuuuwiiiiiiiiii
MKE ALAZIMA AMTETEE MME WAKE hili apate chakula
Nina wasi wasi na Phd yake, sidhani kama anastahili kuitwa associate professor, sasa tumegundua kumbe siyo CCM tu ndiyo adui wa waTanzania ni pamoja na na hivi vyama vya ovyo ovyo kama CUF
well, Ushauri wngu kwa CHADEMA, msithubutu hata kidogo kujibu hoja za CUF, mkitaka wajione wajinga na wasiojua kitu kaeni Kimya msijaribu kusema anything. Huo ni mtego, CUF inaonekana imekuwa taasisi ya CCM kama zilivyo UVCCM, BAKWATA, etc wao wanafuata kuhimiza yale aliyosema Kikwete.
Ukijibizana na kichaa na wewe utaonekana Kichaa! Please Be careful
Mtatiro, je Zanzibar kina mama hawaendi hospitali na viwembe? Ni bara peke yake? Huo uozo wa CCM upo upande mmoja tu wa nchi hii? Anayedharau hapa ni nani?
PROF. LIPUMBA Kapoteza muelekeo kabisa wa kisiasa na kiuongozi, Kweli usipofikia malengo ya kisiasa unapagawa na kuchanganyikiwa kweli leo CDM wamekuwa mafisadi NYANGUMI na CCM ndio mafisadi PAPA? Hata kama mimi sio Prof. huyo Prof wa CUF kachemsha na ana wivu wa chama chake kupoteza muelekeo na nafasi yake kuchukuliwa na CDM. Ila wakumbuke wananchi ndio waamuzi na wanajua chama gani makini kwa sasa. Kujiunga na ccm ktk serikali na kuwa kitu kimoja Bungeni.
Teh teh teh,ebwana huyo ndo prof mapumba,mlikuwa hamumjui?
Kwa kuwa Cuf na ccm ni serikali. Mi naona ni sawa CUF kuwashambulia Wapinzani. Kwa sasa ni chama tawala(ccm/cuf..tlp,nccr) Vs upinzani cdm.) wako wako sawa tu.
Kwa kuwa Cuf na ccm ni serikali. Mi naona ni sawa CUF kuwashambulia Wapinzani. Kwa sasa ni chama tawala(ccm/cuf..tlp,nccr) Vs upinzani cdm.) wako wako sawa tu.
CHADEMA msigombane na mbwa (read CUF) gombaneni na mwenye mbwa (read CCM)
CUF ni chama ambacho kimeundwa ili kama CCM wakiwa na rais ------ wale wasiotaka ongozwa na ------ wanahamia huko. najua wengi watakasirika lakini siko hapa kuwaambia watu kile wanachopenda ila hiyo ni kweli. Alipokuwa mkapa CUF strong na huyu weak . Just wait 2015!
Please CHADEMA leadership,
"Don't argue with the fool because people may not notice the difference between you and the fool."
Get blessed.
Lakini nyie viroba hebu tujadili ukweli hasa,licha ya kwamba uzi ni wa miaka iliyopita, hivi kweli mfanyabiashara kama Mbowe akipewa madaraka ufisadi utakwisha nchini?
lete ushahidi
Hii Hotuba ya Lini? toa link kwanza kabla watu hawajachangia..
Makamanda wenzangu tusipanic hivi ni chanzo gani cha hiyo habari?
Je ni kweli hayo yamesemwa na Prof lipumba? Mimi sitaki kuamini hadi niaminishwe kwanza chanxo cha hii habari! Kwani hii habari ni ya lini?
Isije ikawa ni habari ya enzi hizo wakati ws ujima wakati vyama havijatambua adui yao ni yupi!
Enzi hizi za ukawa hayo hayawezi kuwa maneno ya Lipumba hata kidogo
Inategemea na ueledi wa muhusika.
Kwa mfano,Msumbiji tuliizidi mara tano kwa fedha yetu. Baada ya miaka mingi wakamchagua Armando Gwebuza ambae ni mfanyabiashara tajiri nchini humo. Leo hii niandikapo message hii pesa ya Moc,ambique ni mara5 kwa Tsh.
Naamini ni sahihi Rais awe tajiri na mfanyabiashara!
Sasa matusi yamehamia ACT .
Inategemea na ueledi wa muhusika.
Kwa mfano,Msumbiji tuliizidi mara tano kwa fedha yetu. Baada ya miaka mingi wakamchagua Armando Gwebuza ambae ni mfanyabiashara tajiri nchini humo. Leo hii niandikapo message hii pesa ya Moc,ambique ni mara5 kwa Tsh.
Naamini ni sahihi Rais awe tajiri na mfanyabiashara!