Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
Mtamaliza matusi ote lakini Prof Ni msomi aliyebobea kwenye uchumi na ana uzoefu mkubwa sana na siasa za tanzania.
Ukweli unaumaaaaaa eheeeeeeee, badilikeni muwe na uso wa kitaifa sio ukanda, ukabila na udini.
Amewasaidiaje watz kukabiliana na changamoto za kila siku..?