Lipumba awavaa viongozi CHADEMA

Ikiwa ni kweli lipumba kaongea ujinga huu bc wana cuf tuwe makini na huyu mwenyekiti wetu na ndio maana chama chetu kinazid kulud nyuma badala ya kwenda mbele
 
Ikiwa ni kweli lipumba kaongea ujinga huu bc wana cuf tuwe makini na huyu mwenyekiti wetu na ndio maana chama chetu kinazid kulud nyuma badala ya kwenda mbele

Sio kinarudi nyuma kinakufa,CUF inakufa na inasubiri kuzikwa mda wowote hakuna mikutano,hakuna semina wamebaki wanaropoka tu,Cuf ni ccm B hilo halina mpinzani,hata kule Zanzibar kwa sasa wakikaa vibaya kitapotea pia
 
Haijaibuliwa mnakumbushwa tu. Hebu angalieni viroba wasivyo na akili,wanamtukana Lipumba wakati uzi huo ni wa miaka 14 ILIYOPITA. je hamjajitambua tu?
 
Kama kuna mzalendo ambaye ni member kule MF kwa kubenea ni vema akazipandishe huko ili wawaone wanafiki wenzao.
 
Inategemea na ueledi wa muhusika.
Kwa mfano,Msumbiji tuliizidi mara tano kwa fedha yetu. Baada ya miaka mingi wakamchagua Armando Gwebuza ambae ni mfanyabiashara tajiri nchini humo. Leo hii niandikapo message hii pesa ya Moc,ambique ni mara5 kwa Tsh.

Naamini ni sahihi Rais awe tajiri na mfanyabiashara!

fuatilia story ya huyo rais wa Msumbiji kwanza uijue maana sio wale Bavicha (Baraza la vichaa Chadema) wanaoambiwa na hawahoji. Huyu Rais wa Msumbiji hakuwa tajiri kabla ya kuingia kwenye siasa,ametajirika kwenye ubinafsishaji wa viwanda na mali za serikali kama ilivyo hapa kwetu na akiwa rais amekuwa na share kwenye makampuni makubwa tu nchini humo.. Hata ushindi wake kuanzia chama hadi urais ulikuwa wa mbinde kwa kutumia pesa. Sasa unatuambia nini wewe? Matajiri hawatufai katika uongozi wao waendelee na biashara zao tu
 
fuatilia story ya huyo rais wa Msumbiji kwanza uijue maana sio wale Bavicha (Baraza la vichaa Chadema) wanaoambiwa na hawahoji. Huyu Rais wa Msumbiji hakuwa tajiri kabla ya kuingia kwenye siasa,ametajirika kwenye ubinafsishaji wa viwanda na mali za serikali kama ilivyo hapa kwetu na akiwa rais amekuwa na share kwenye makampuni makubwa tu nchini humo.. Hata ushindi wake kuanzia chama hadi urais ulikuwa wa mbinde kwa kutumia pesa. Sasa unatuambia nini wewe? Matajiri hawatufai katika uongozi wao waendelee na biashara zao tu

Sasa kwa Tanzania mbona hamna mgombea uraisi masikini,wote ni matajiri?
 
Back
Top Bottom