ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,344
- 2,953
We bibi HAMY-D habari yako..Mlitaka apewe Mbowe au Slaa? Kwa kipi? Kupiga mabomu wenzao@
We bibi HAMY-D habari yako..Mlitaka apewe Mbowe au Slaa? Kwa kipi? Kupiga mabomu wenzao@
ndoa si lelemama...dah mambo ya unyumba ni magumu sana.
Duh!! Kazi kwelikweli!!! Mara hii huyo Lipumba amekwishasahau mapigo ya ccm? Kuolewa kazi!!
We bibi HAMY-D habari yako..
chuki za kidini zimeota mizizi katika baadhi ya .... Hata sijui dawa yake. Hata hivyo dawa sahihi ni kwa wanaobaguliwa kujitambua na kuacha kujidanganya au kulazimisha wema pasipo wema. Amani haiji ila kwa ncha ya upanga.kweli mkuu hatupaswi kuhusisha uislamu na huyu lupumba,viongozi wetu wadini wasikubali siasa kwenye nyumba za ibada..
Duh!! Kazi kwelikweli!!! Mara hii huyo Lipumba amekwishasahau mapigo ya ccm? Kuolewa kazi!!
Subirini tuzo ya kupora wake za watu hiyo lazima apate babu SLAA
Huu ni utani.Mhamasishaji mkubwa wa udini ambao unachochea vurugu anapewa tuzo ya amani?Huu ni mzaha kwa wahanga wa mashambulizi ya kidini yaliyofanyika.Ndiyo maana hata kongamano la amani nilisema ni la kinafikiAngekua Profesa wangu anayesimamia tasnifu yangu ya Shahada ya uzamili au Ph.D ningei-drop immediately.Kwa mkanda wa video wa juzi ningemdharau na ningepoteza imani nae immediatelly!
Lema atapewa tuzo ya maandamo.
ikipita siku hujaiwaza chadema kutatokea kupatwa kwa Jua
Nadhani ungepanua wigo zaidi - "WAFANYE SIASA ZAO WAACHANE NA DINI ZA WATU" ungekuwa umetenda haki kwa wote bila kungalia dini fulani tu.
Lakini wakati mwingine inakuwa vigumu sana kutenganisha hivi vitu viwili - dini na siasa - hasa pale hao unaotaka wasikilizwe ndipo wahukumiwe wanapotaka wasikilizwe kwa "sababu ya dini zao". Hapo inakuwaje?