Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,132
Ninachofurahi Mimi ni kwamba watu ambao mlitumika kuhadaa umma na kumpandikiza Kikwete sifa hasizokuwa nazo na hatimae kuusima Utawala huu madarakani mwaka 2005, leo hatimae mmeanza kujitambua na kuwa upande wetu. Naimani Muda si mrefu Salva, Balile na wengine na wao watajitambua. Pamoja sana Manyerere Jackton.
Nakala: Ansbert Ngurumo, Absalom Kibanda, etc
TUMBIRI (HULL City)
TUMBIRI,
There you are...Unawaudhi mkuu.
Last edited by a moderator: