Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Hii itakuwa ni mara yake ya nne kuwania nafasi hiyo kupitia chama chake kwa upande wa Tanzania Bara.
Hivi huko CUF hamna wagombea wengine nguli zaidi ya Prof. Lipumba? Just curious!
Mwaka wa 15 huu sasa toka ameanza kugombea kiti hicho!!!!!!!