kala pesa kasepa
nasikia hata slaa anafanya hivyo
Kweli huyu angeuawa na wana CUF...maana wana UKAWA, CUF wana hasira nae sana, amewasaliti sana kwa ajili ya fedha...hapo si chini ya 20 billions kavuta toka CCM kaondoka zake...
Alikuwa geresha tu kusema eti atakuwa mwanachama wa kawaida tu CUF, UKAWA...Mhuni sana huyu Prof... ndio maana CUF waliliona mapema Lipumba ni ADUI WA MABADILIKO...
Msaliti, mhuni mkubwa huyu
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine
Safiiii...Jf sio ya baba yako.
Hao wa Fb, insta, tweeter na kwingine kokote ni watanzania na wana haki ya kutumia JF na ndio wapiga kura.
UKAWA mbele kwa mbele....!
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine
kim ile video ukiliwa uroda hivi jamaa hakugusa 0713?
tangia lini ccm mlianza kumpenda slaa? Vipi slaa siku hzi sio padri mzinifu? Slaa sio mwizi wa wake za watu?anaogopa kufanyiwa umafya na lile genge linalomzingira slaa asiongee na media, hata yeye mwenyewe juzi chupu chupu kufanyiwa mbaya ndo akaahirisha mkutano
tangia lini ccm mlianza kumpenda slaa? Vipi slaa siku hzi sio padri mzinifu? Slaa sio mwizi wa wake za watu?
Slaa kama una macho ya kuona mbali kumbuka hivi kalibuni hawa wanao kutetea walipnga njama kupitia mlinzi wako wakuwekee sumu. Lakini leo hii wamekuwa watetezi wako wakuu ili mradi tu wagawe ukawa. Nafikiri wewe slaa unaona walivyo mkaghai huyu jamaa said arfi sasa amebaki ana tanga tanga