Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba mshauri mtarajiwa wa Pombe magufuli wa masuala ya uchumi, afadhali kakataa kuingia mtego wa fisadi EL

Magufuli hawezi kumkubali Huyo kigeu geu pia alichokisoma Kwa sasa hakina mashiko, Elimu yake kichwani haimo tena anawaza Cha juu na Tamaa ya pesa, kwanza kaenda kununua Nyumba Dubai na kuficha pesa kisha Aoe Mke huko huko akitarajia kuwa siku akiludi Watanzania watakuwa wameshasahau . Lipumba hafai kuwa mshauri wa Rais kwani Ushauri wake Kwa Mwinyi ulivuruga Uchumi wa Tanzania na kuiporomisha shilling ya Tanzania Kwa kasi kubwa hafai hata kuwa mshauri wa kijiji.
 
Hongereni sana wana cuf nawasihi muendelee na mshikamano huo mliouonyesha nimekuwa nikifarijika sana na kauli za viongozi na wanachama juu ya kujiuzulu kwa prof LI-PUMBA hii imeniconvice kutokuterereka kwa CUF kwanza hongereni na pia huyu mzee ni kikwazo katika mabadiliko na ni mroho wa madaraka sichelei kusema amekuwa kikwazo katika mabadiliko hakika vilio vya watanzania kuhusu mabadiliko vitakuwa juu ya LI-PUMBA huyu profesanawasiwasi na UPROFESA wake sababu alizozitoa ni za kitoto sana sidhani kama angekuwa na mchango wowote katika mabadiliko ya nchi Mungu ni mwema ametuonyesha mapema kikwazo cha mabadiliko hakika tumshukuru kwa hili kamwe tusigeuke nyuma askari amedondoka jeshi la ukombozi linaendelea na kazi mpaka ushindi upatikane
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine
Hata serikali za mitaa mlisema hivyo hivyo, mshukuru mapingamizi vinginevyo ingekula kwenu. Subiri muda mtafurahi.
 
Mahesabu ya ccm ni ya hovyo!! Lipumba ana impact gani sasa! Kura moja ina faida gani mpaka mtoe mabilioni?
 
Kweli huyu angeuawa na wana CUF...maana wana UKAWA, CUF wana hasira nae sana, amewasaliti sana kwa ajili ya fedha...hapo si chini ya 20 billions kavuta toka CCM kaondoka zake...

Alikuwa geresha tu kusema eti atakuwa mwanachama wa kawaida tu CUF, UKAWA...Mhuni sana huyu Prof... ndio maana CUF waliliona mapema Lipumba ni ADUI WA MABADILIKO...

Msaliti, mhuni mkubwa huyu
 
Hapo ndio tunapokosea wengi wetu, kujiweka pembeni sidhani kama inamaanisha ni kuwa msaliti, Kwenye Demokrasia kuna msemo unasema ''wengi wape'' kwahyo kama Prof ameshindwa kwa kura za wingi hvyo kujiweka pembeni ni kounyesha kutoridhishwa na maamuzi ya wengi
Hakujiweka pembeni Kwa sababu hiyo yako peke yako. Tambua kuwa Lipumba kanunuliwa na Membe Kwa pesa za marehemu Gadafi pia ccm Kwa pesa za walipa Kodi ,sasa hivi kaenda kununua Nyumba Nje na kuficha hizo pesa kisha kuoa huko huko ili aanze maisha mapya ya kuneemeka na Mapesa ya Gadafi aliyopewa na Membe .
 
Ile kauli yake kwamba alimsaidia JK kushinda urais, ilianza kunipa mashaka ya mamluki wa ccm kujaa upinzani.

tusimjaji kwa kauli zake pekee tuangalie na matendo yake.Kama kauli tutakimbiana.
mfano wa kauli za nyuma la mh lowasa akisema;"yeye na kikwete hawakukutana barabarani"je,tukiijumwisha haito mwalibia. lakini chadema imeangalia matendo yake na matukio yaliyotokea wakaweza kuona anaweza kuungana nao katika mapambano.
 
Lipumba ....................kaonesha ukomavu wa kisiasa
 
uongo ukisemwa sana ukaachwa hugeuka kuwa ukweli!Ndicho BAVICHA na Pro-Lowasa wanchofanya sasa kwa Lipumba na Slaa!
 
Katuvunja sana moyo wapenda mabadiliko

Mkuu tupo pamoja sanaa...
Hakuna ukombozi usiopitia umwagaji damu, uongo, usaliti na dhuluma...
Silaha pekee ni mshikamano na unbroken faith.
Muhimu ni JE, TUNATAKA?? jibu ni ndiyo...
Tunaweza na Tutashinda udhalimu huu wa CCM.
 
Profesa mwingine ameendelea kuudhalilisha uprofesa
 
Daaaah, Yuda Iskarioti (LIPUMBA) kavuta mshiko wake then kasepa lakini heshima yake imeshuka na huko alipo kila akitembea anageuga nyuma kutizama mwana CUF/UKAWA kama anamfuata. CUF wao wapo Ngangari
 
Hapa naona michango yote imejikita katika "nasikia......."
Interesting.
 
Back
Top Bottom