chief Hapa nadhani umendanganya,yaani kwenda jobeg kwa Rwanda air then KQ ni gharama kubwa na unatumia muda mwingi kuliko kwenda na SA moja Kwa moja.nahisi Hapa umeweka chumviWadau.
Akiwa amepewa sabuni ya roho ndani ya ulinzi unaomridhisha,huyu bwana aliyemsifia sana EL siku alipojiunga UKAWA kapanda ndege ya Kagame RWANDAIR kufika Nairobi then aunganishe Kenya Airways mpaka uwanja uitwao OLIVER THAMBO...
Yadaiwa atatoka Johannesburg baada ya siku tatu kwenda London.
Lengo ni kukwepa hasira za wana CUF aliowasaliti.