Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Waulize CCM (Uhuru), Ndio Wanataarifa Zake, Maana Ndio Aliwapa Taarifa za Kujiuzuru. Lipumba Hana impact yoyote CCM Wamelamba Galasha.
 
CCM inakosea sana, badala kuwanunua viongozi wenye njaa ilitakiwa itununue sisi wananchi wapigakura kwa kutuboreshea maisha na kuacha ufisadi
Naunga mkono hoja.

Kama hili 'dubwasha' la Sisiemu litaendelea kututawala, basi tusitarajie maisha ya kawaida ya mtanzania yaboreke, kwa kuwa priority no 1 ya magamba kipindi hiki wakishirikiana na KITENGO ni kuusambaratisha Ukawa kwa gharama yoyote, hata kama ni kwa kutumia bilioni 10 za 'kuwanunua key persons' wa Ukawa.

Sasa jaribu kuimagine kama hizo bilioni 10 zingekuwa invested kwenye shughuli za uzalishaji mali, je zingekuwa zimetengenezwa ajira ngapi na hivyo kupunguza idadi ya vijana wetu wanaozurura mitaani kwa kukosa ajira?

Hakika mwaka huu raia wa kawaida mlalahoi, atakayeamua kuwapigia kura magamba, itabidi mtu huyo akachekiwe 'upstairs' zake kama ziko kamili.
 
Wasalamu wanandugu,

Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof. Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.

==========================================



Chanzo: Mtanzania
Inamana ndio hatorudi tena?
 
Back
Top Bottom