Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

Lipumba aondoka nchini baada ya kujiuzulu

nakutakia safari njema lipumba ila ningependa umshauri na james mbatia nae achukue maamuzi kama yako kwani hapafai huko ukawa tokeni haraka

wew ni mjinga sana . Kukimbia nchi baada ya kukosa kugombea urais na kupokea pesa za kodi zetu kupitia ccm ndo uzalenddo? Aibuuuuuuu
 
Wasalamu wanandugu,
Habari nilizozisikia hivi punde ni kwamba Prof.Ibrahim Lipumba ameondoka nchini na ndege ya Rwanda jana baada ya kumaliza kuongea na waandishi wa habari.

Chanzo: Magazetini RFA

Tuna kila sababu ya kupambana kukiondoa ccm madarakani, tazama wanachowanyia wasomi wetu Shivji, and now Lipumba. With all that efforts, toils they end up being paid????? and just quit! Jana wakati anatangaza kujihudhuru alikuwa anaonekakana kama juha fulani kile anachokisema kinamshitaki hapo hapo!!
 
Lipumba ni Riprofesari heko UKAWA kugundua mchezo mchafu Wa Lipumba Na CCM walitaka alete vurugu ukawa isambaratike Lipumba kwa kimywa chake alisema alimsaidia Kikwete mwaka 2010 kwanini KAKIMBIA?
 
Shule Tanzania inadhalilisha sana lipumba aeleweki ni profesa au riprofesari

kwa sababu amejiuzuru uenyekiti??? sio lazima afanye kilicho kwenye fikra zako,,, hata yeye ana kichwa chake na mawazo yake halafu lazima ujuwe anaijua ukawa kuliko unavyoifahamu .... ni mmoja wa wanauchumi bora duniani kaka kwa hiyo bado hatuwezi kumfananisha na wewe....
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine

Wanashindia viroba
 
Billions 20 siye mchezo.

Tukimwona majukwaani tutampopora maweee


Amethamini pesa na kuukana uzalendo,kama ni suala la katiba hawawezi kuindoa hiyo katba ya CCM bila kuingia ikulu.
Iliwapasa waungane na kuwaondoa CCM,Japo hongo imemuondoa wananchi na CCM kwa sasa ni mbalimbali,
vIONGOZI waliobaki watambue huu usaliti ndo unazidi kuwaamusha wananchi.
HATA KAMA NI KUWA BALOZI HUWEZI SALITI NCHI YAKO,MCHWA LAZIMA ACHINJWE MWAKA HUU.
TUMECHOKA.
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine

Jf sio ya baba yako.
Hao wa Fb, insta, tweeter na kwingine kokote ni watanzania na wana haki ya kutumia JF na ndio wapiga kura.
UKAWA mbele kwa mbele....!
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine

Ach chuki wewe,anzisha jukwaa lako,makaburu siku zote utawajua tu.
 
Kule ccm kumejaa rushwa,kupigana,kuibiana kura huku ukawa kujiuzuri nchi yangu Tanzania wapi wanakupeleka? Minaseama kura sipigi ng'o
 
Humu vimejazana vikundi viwili bavicha na team lowassa vinatiana ujinga,jf imevamiwa,bora uchaguzi uishe muondoke na mzoga wenu mrudi nao Facebook tuendelee na mambo mengine

Mzoga wetu ccm sio, yaah.. tutaondoka nao tukaunyambue vizuri.
 
Back
Top Bottom