Mimi nawasiwasi sana na uelewa wako.nazani unamapungufu. je? umetumia muda kutafakali zile sababu alizozitoa lipumba?zinaendana na alichofanya?
Lipumba usirudi tena olewa kabisa huko unapoenda.slaa nae atakufata huko honeymoon
Lipumba usirudi tena olewa kabisa huko unapoenda.slaa nae atakufata huko honeymoon
Kwa hali hii yawezekana watakao kua wapinzan wa kweli ni wale wanaoingia upinzan kwa sasa iv maana wapinzan wakongwe siwaelewi kabisaa vijimambo vyao
Siasa ni mchezo mchafu yani hata kama edo asingejiunga kulikuwa na mpasuko mkubwa tu kati ya Dr.slaa na pr.lipumba nani agombanie urais wanasiasa achen tamaa wananchi wanahitaji mabadiliko
Lipumba alianza figisu figisu kitambo kabla hata Lowasa hajatimba Ukawa , Jana kumtumia Lowasa Kama kisingizio tu lakini dhamila inamsuta kwa mengine wala si Lowasa. Hata dhamila ya kupokea pesa za Membe na pesa za ccm pia zinamtesa.Siasa ni mchezo mchafu yani hata kama edo asingejiunga kulikuwa na mpasuko mkubwa tu kati ya Dr.slaa na pr.lipumba nani agombanie urais wanasiasa achen tamaa wananchi wanahitaji mabadiliko
Shule Tanzania inadhalilisha sana lipumba aeleweki ni profesa au riprofesari
Katuvunja sana moyo wapenda mabadiliko
Hakika huyu kanunuliwa ni mnafiki ajabu na kweli hasira za wananchi zingemuwakia hapo utaona tofauti ya Proffessor na Re-professery!! Ze comedy wana party ya Le-proffessery ni kweli kabisa!!kanunuliwa kama alivofanya jobu ndugai kukwepa kuliongoza bunge kujadili escrow huku akiandaliwa safari nje ya nchi